Tatizo ni kwamba kuna comment ni kama vile watu wanaandikiwa vi note waje JF wapost. Du! umizeni vichwa, fanyeni utafiti wa kila wazo kumbukeni JF sio FB jamani..........
Jamani: Kama suala ni kuwa na FIKRA PEVU ni vema pia kuheshimu utashi wa wengine ili nao waheshimu utashi wako. si dhani kama ni lazima sana kuwa uniform katika masuala yote. Take care!
CHADEMA: chama kinachoamini katika ubabe, umafia na unyama. But kwa Tanzania hii sidhani kama iko siku CDM inaweza kuwa Ikulu kwani sasa ----- uliomwagwa pale kamati kuu ya CDM unazidi kuwawasha na sasa Lisu anaamini ndiye MWenyekiti mtarajiwa wa CDM. Hii sasa kali
"Kama Yesu alivyosulibiwa msalabani akafa na kufufuka, wakristo wakapata ukombozi; ndivyo nawatuma na ninawasisitiza wanawake na vijana wa nchi hii (Tz), tusiogope kufa na kumwaga damu kama Yesu ili tuikomboe Tz" Du! HUO NI UPOTOSHAJI MKUBWA NA USHAHIDI KWAMBA DR SLAA SIO MZALENDO KABISA"
Kwa kweli baada ya kuchukua muda kuliangali upya baraza jipya la mawaziri na baada ya kuangalia kwa kina uteuzi wa Rais Kikwete. Nimeona kweli Rais JK ameteuwa mawaziri wachapa kazi na kwa hilo NAMPONGEZA SASA JK. cha msingi sasa ni PM kuwasimamia vema na kuendelea kuwawajibisha mawaziri...
Ndugu Watanzania na wazalendo.
Mnamo tarehe 1/5/2015 katika sherehe za Mei Mosi Rais Kikwete alitangaza kuruhusu kugawa Mkowa wa Mbeya. King'anganyiro hiki kimeanza hukuwa Wanyakyusa wakidai Mkoa mpya uitwe Rungwe na Makao Makuu yawe Tukuyu.
Huku Wana Mbozi wakidai Mkoa Mpya uitwe Songwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.