Recent content by PapaD

  1. P

    Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

    Big-up Zitto, Hiyo yote inatokana na kutambulika kwako kuwa na uwezo wa kusoma, kuchambua na kuchanganua issues kimakini zaidi. Wabunge wengine muwe mnajifunza kutoka kwa huyo dogo kwa jinsi anavyo tumia muda wake jijenga kimaarifa
  2. P

    Tweet ya CCM yenye Kingereza Kibovu iliyogeuka Kichekesho Kenya!

    Huu ni ushahidi tosha wa kutokuwa na haja ya kuunda tumu juu ya matofeo mabovu ya F 4, Zero zinaanzia huko huko kwa viongozi wao
  3. P

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Ushauri wa bure kwako na huyo Nape aliyokuandikia hiyo CV chovu: 1. Mkajifunze jinsi ya kuandika CV 2. Unatoa usifa wa matokeo ya darasa la saba, mbona kimya kwa matokeo ya form 4 na 6 kama ni masafi kweli? 3. Popote pale ukiona mtu mwenye vyeti vya kuunga unga level moja (diploma-diploma) huyo...
Back
Top Bottom