Acha uboya na uvivu, nenda kasome hilo gazeti yani kuanzia page ya kwanza mpaka mwisho ni kumkejeli magufuli tuu, sasa hili ni gazeti au udaku na umbea tuu?
GAZETI LA MAWIO LA LEO ALHAMISI 12/11/2015 LIMEJAA MAKALA ZA KUMKEJELEI RAIS WETU MPYA. MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, MFANO WA HEADLINE MOJA ILOANDIKWA NI "MAGUFULI ATIKISWA"
Ukiisoma hii habari utagundua ama kweli UKAWA na timu yake wanaweweseka, maana imejifanya kusema kuwa eti Hotuba ya...
HIVI INAKUJA AKILINI KUANZA KUDAI AHADI ZA RAIS NDANI YA SIKU 6? KAMA SIO WIVU KITU GANI?
Haiji akilini kuanza kutoa lawama kwa viongozi wa nchi na hasa kwa huyu Rais wetu tena Rais wa watu wote hususani kuhusu ahadi alizozitoa kupitia ILANI YA CHAMA CHAKE CHA CCM ikumbukwe ya kwamba kipindi...
Mtu wa namna hii asiyeweza free style kwenye mahojiano hatufai kuwa rais, haiwezekani kila anapokutana kwa ajili ya mahojiano anatembea na kitini cha kufanyia chabo, hahahah aibu hiyo mzee wa mamvi. Mwaka huu utaisoma namba baba, kusanya vyako urudi kwenu monduli, umebakiza siku 3 tu urudi kwenu...
WANANCHI WA TUNDUMA WAMEAPA KUTOWAPA KURA TENA UKAWA KUTOKANA NA MADAI KUWA WAMEKUWA WASANII NA WABABAISHAJI, JANA WAKADANGANYA KUWA VIPAZA SAUTI VIBOVU WAKATI HUO HUO MBOWE ALIKUWA ANATUMIA VIPAZA SAUTI HIVYO HIVYO, SASA HUU SI UONGO WA MCHANA KWEUPEEE?? SASA WAMEAHIDI KUWA HAWATAWAPA KURA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.