Habarini wanajamvi. Nimekua nikisumbuliwa na wadudu wanaofukua udongo na kutengeneza mashimo kiasi ambacho jiran yangu ukuta wa nyumba yake umebomoka kwa kutitia, maana wale wadudu wanafukua chini kwa chini. Mwenye Suruhisho la tiba ya jinsi ya kuwadhibiti hao wadudu anisaidie plz kabla...
Upo sahihi. Coz ni mawazo yako siwez kuyapinga kama mm mwaka jana nimeagiza hadi kuifikisha ilinigharim 18 na point ndio iwe sasa upate kwa 16 m sio rahisi labda zile zenye km laki 2
TOYOTA COROLLA RUMION
Color: BLACK
Mileage: 58800 km
Steering: Right
Transmission: AT General
Fuel: GASOLINE
Drive System; 2WD
Doors: 5DD
Displacement: 1490cc
CIF PRICE; 16 m
Music system: Android
Contact: +255755906255 Whatsp
Habari za jion wadau. Naomba nitumie nafasi hii kutoa mrejesho kwa swala la Tonsils kwa watoto wangu. wamefanyiwa opereshen kwa tarehe tofauti na alhamdulillah Mwenyez Mungu ametujaalia zoezi limekwenda vyema na sasa wanaendelea vizuri sana. Wakubwa imani za kiswahili kwamba mtoto ukimpa vitu...
Sijaelewa kidgo umesema bei ni kias gani? Sabab ya kuukata ni kwa sabab ulikua eneo ambalo alikua anataka kujenga ukuta kwa hio ili ukuta unyooke ilikua lazima pia mnazi ukatwe
Wakubwa habari za majukum. Kumekuwa na mgogoro mkubwa kwa majirani zangu ambao wanagombania mti wa mnazi mkubwa ambao ulikua unauwezo wa kuzalisha nazi.
Jirani mmoja kati yao akaamua kuukata huo mnazi mwisho wa jirani wa pili amefika na kugundua kuwa mti wa mnazi umekatwa na kuzua taharuki ya...
Nimehangaika nazo sana kibaya zaidi dokta aliniambia kwa watoto zinaweza kupelekea ugonjwa wa moyo au kupoteza uwezo wa kusikia kwa mtoto wa kwanza alishaanza kuwa na tatizo la usikivu ndio maana nazid kuvurugwa
Nashukuru sana mkuu kwa maelezo yakinifu. Kwa mm mwenye approx 34 haifai kuziondoa kwa opereshen? Maana nilitaka niungane na wanangu ili sote tuondokane na hizi changamoto
Nenda bank husika ukiwa na picha ya nyumba yako utapewa maelekezo. Angalizo kuwa makini mkopo usije fanya nyumba yako ikauzwa kwa hasara. Nmb wapo faster nenda tawi lolote hapo ilala watakupa maelekezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.