Recent content by pancras utenga

  1. pancras utenga

    Mtoto kila akicheka sana anakuwa na kwikwi

    Ahsante sana comrade nimekuelewa
  2. pancras utenga

    Mtoto kila akicheka sana anakuwa na kwikwi

    Tulishajaribu kupata ushauri wa kitaalam hospital ila wanasema yawezekana wakati anazaliwa alilia kwa muda mrefu may be inaweza ikawa chanzo na kusema itaishaga tu, lkn naona now ni 2 yrs no changes, ndo nikaona nije humu
  3. pancras utenga

    Mtoto kila akicheka sana anakuwa na kwikwi

    Ikimshika huwa tunampa maji ikata, na sio kila akicheka mara kwa mara ila huwa akicheka sana na muda inamshika
  4. pancras utenga

    Mtoto kila akicheka sana anakuwa na kwikwi

    Hapana wala hatukuwahi fanya kabisa hiyo michezo
  5. pancras utenga

    Mtoto kila akicheka sana anakuwa na kwikwi

    Habarini wadau, nina mtoto wangu now anamiaka miwili ila tangu kukua kwake amekua kila akicheka sana anapata kwikwi, shida itakuwa nini?
  6. pancras utenga

    Msaada: Dawa ya Degedege

    Kwa jina jingine huitwa KIVUMBASI
  7. pancras utenga

    Habarini wadau ninayo shida ya kujua je ! Kuna tiba ya mawe kwenye mfuko wa nyongo tofwauti na upasuaji

    Kuna dawa moja ya matunda ya apple za kijani 12, mafuta ya zaituni na juice ya limao nusu glass, yaani siku ya kutumia hiyo dawa mgonjwa hatakula chakula chochote zaidi ya hizo apples za kijani tu, asubh atakula apple 4, mchana pia 4 na uck ndo anamalizia apple Baki pamoja na kunywa nusu glass...
  8. pancras utenga

    Wahuni tunapendwa sana na wanawake

    Mhuni Ni mjanja anapendeza anajijali, ananukia, swagger nini Ila ndo hawezi kuhonga😀😀
  9. pancras utenga

    Wahuni tunapendwa sana na wanawake

    Mwanangu dunga mawe
  10. pancras utenga

    SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

    Administrative law hiyo! Hiyo seneti iliwaita wote hao 162 kwa notisi kwa ajili ya defence? Pamoja au mmoja mmoja,... principle za natural justice zimefuatwa? Kama vile Rule against bias, Audi alteram paterm, Nemo judex in causa sua? Au wameamka tu wakawafuatia huko huko...yasije yakatokea Kama...
  11. pancras utenga

    SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

    Mahakama kuu ndo pahala sahihi au proper forum
  12. pancras utenga

    SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

    Injunction inafanyika pale ambapo jambo linaendelea na bado halijatolewa maamuzi, means linatakiwa lizuiwe ili lisije kuathiri haki ya mtu hapo baadae baada ya maamuzi/judgement...linaweza fanywa au kuombwa ktk mahakama yoyote kutokana tu na Jambo lako linahusu nini, au hata ktk...
  13. pancras utenga

    Miongozo kuhusu In Vitro Fertilization (IVF) hapa Tanzania

    Nachakata sema Kuna kitu nataka kujua tu
  14. pancras utenga

    Miongozo kuhusu In Vitro Fertilization (IVF) hapa Tanzania

    Habari zenu jmn! Nataka kujua Kama Kuna sheria, regulations au rules zozote zinazogovern au kutoa muongozo wa In Vitro Fertilization (IVF) hapa Tanzania.
Back
Top Bottom