Kama kuna infringment ya haki zako unaruhusiwa kwenda kuichallenge hii sheria kama ambazo alifanya Ezekiah Oluoch katika kesi yake dhidi ya Waziri wa mazingira kuhusu siku hii ambapo alishinda kesi.
Hii ni GN no.139 of 2016 iliyotolewa na waziri ofisi ya makamu wa rais mazingira na muungano kuifanya kila jumamosi kuwa siku ya kitaifa ya usafi sasa sijajua Makonda kaingiaje katiak mjadala huu ??
"Constitution is a living document with a soul and consciousness as reflected in the Preamble and Fundamental Objectives and Directive Principles of State Policy. It should not be crippled by technical or narrow interpretation."
Ishengoma Francis Ndyanabo v. Attorney General Civil Appeal No. 8...
inabidi tuanze sasa kuamini kwamba upinzani na wapinzani wa tanzania sasa hawana hoja ya kusimamia na ndo maana si ajabu kuanza kukimbia mijadala ya wazi
kwa sababu in fact hakuna sababu ya msingi ya Bananga na heche kukimbia mjadala wa wazi kwa kigezo cha matakwa ya wengi bila hata kujustify...
kwani na wewe una duka pale mlimani city au umekosa cha kuongea humu jukwaani??
naona Paul C Makonda anazidi kuwapagawisha wafipa mmebaki kucheza kilaa mdundo wa ubunifu wake poleni sanaaa
Maendeleo ni progressive sio kulala na kuamka.
Katika hiko kipindi cha 1961-1992 yalifanyika mengi ambayo ni kiashiria cha wazi cha maendeleo ambayo kuanza kuyaandika hapa hayatatosha.
By the way ni kipi chama cha upinzani cha urusi ?
Kwa hyo richa ya kutokuwepo na upinzani nchini china bado hamna nyumba za nyasi na dhana ya jumla ya umaskini ni ndg kulinganisha na kwetu.
Hivyo huenda kwetu upinzani ni chanzo cha matatizo yetu na umaskini bora tubaki kama china
Uchaguzi wa marudio umefanyika ukiwa ni uchaguzi mdogo wa pili kufanyika tangu serikali hii iingie madarakani huku matokeo yakiwa ni yaleyale yenye kuacha maumivu makali kwa wapinzani na kutoa picha ya hali itavyokua 2020
Lawama na kelele ni nyingi toka upande shindwa kwa chaguzi zote mbili za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.