Washaomba poo ndugu zako wazee wa kubariki ushoga, sasa wanatupiana lawama tu, in short iran ni super power
So, bado tunaendelea kuwatwanga hao mazayuni wenzako yani mpaka tuifute kwenye ramani
Wazungu ndio akina nani! Morocco una wachukulia poa 2022 wamefika mbali, hebu nionyeshe hao wengine walifika wapi na walifanya nini cha maana kuwazidi Morocco! Na huko rushwa ilitembea? Sema wengi mnawachukia waarabu kitambo, in short hamuwapendi kama ilivyo kwa mazayuni na mashoga wenzake...
Acha ubaguzi, kisa tu kupewa morocco hilo bakuli ndio uwaingize waarabu wote! Hivi unadhani morocco wanashidanalo hilo kopo!! Pesa wanayo, viwanja vizuri wanavyo, soka wanapiga, wachezaji wazuri wanao, ligi yao ni 🔥🔥🔥.
Acha kanuni na sheria ifuatwe, kama wao senegal walitambua hilo why walisusa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.