Recent content by Palestine Will be free

  1. Palestine Will be free

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Iran sio venezuela Na mpaka sasa usa na shogaake wamefeli, na bado tunaendelea kuwadunda.
  2. Palestine Will be free

    Jeshi la Israel lasambaza video ya kuendelea kutukumbusha waliweza kumbamiza Ayatollah na viongozi wengine 40 ndani ya sekunde 40 tu

    Bado tunaendelea kuyafumua mpaka yaondoke yarudi yalikotoka wawaachie wenye ardhi yao
  3. Palestine Will be free

    Jeshi la Israel lasambaza video ya kuendelea kutukumbusha waliweza kumbamiza Ayatollah na viongozi wengine 40 ndani ya sekunde 40 tu

    Washaomba poo ndugu zako wazee wa kubariki ushoga, sasa wanatupiana lawama tu, in short iran ni super power So, bado tunaendelea kuwatwanga hao mazayuni wenzako yani mpaka tuifute kwenye ramani
  4. Palestine Will be free

    Baadhi ya Samaki wa kukaanga mtaani wanakuwa na funza

    Wafanyabiashara wa hivi huwa hawaendelei, mwisho wa siku anafunga biashara.
  5. Palestine Will be free

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Wazungu ndio akina nani! Morocco una wachukulia poa 2022 wamefika mbali, hebu nionyeshe hao wengine walifika wapi na walifanya nini cha maana kuwazidi Morocco! Na huko rushwa ilitembea? Sema wengi mnawachukia waarabu kitambo, in short hamuwapendi kama ilivyo kwa mazayuni na mashoga wenzake...
  6. Palestine Will be free

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Ndio maana nikasema kama sheria imefatwa kwa maana haki imetendeka basi senegal wanastahiĺi kupokonywa
  7. Palestine Will be free

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Tunamuomba Allah ajaalie ushindi kwa waislamu dhidi ya hao wabariki ushoga wa kizayuni n.k mnao wasapoti. Inshaa Allah Uislamu utashinda!
  8. Palestine Will be free

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Siwezi kuwa supporters wa wezi na uharibifu wa mali za watu
  9. Palestine Will be free

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Acha ubaguzi, kisa tu kupewa morocco hilo bakuli ndio uwaingize waarabu wote! Hivi unadhani morocco wanashidanalo hilo kopo!! Pesa wanayo, viwanja vizuri wanavyo, soka wanapiga, wachezaji wazuri wanao, ligi yao ni 🔥🔥🔥. Acha kanuni na sheria ifuatwe, kama wao senegal walitambua hilo why walisusa...
  10. Palestine Will be free

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Usitumie neno "sisi" jisemee wewe tu. Muhimu utaratibu ufuatwe haki itendeke basi.
  11. Palestine Will be free

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Ipo siku utajua ukweli ila utakua umechelewa sana
  12. Palestine Will be free

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Labda peke yako hutaangalia Kama sheria za caf zinazuia wachezaji kutoka nje ya uwanja kwa muda ulopangwa basi acha wapokonywe na wapewe Morocco 🇲🇦
  13. Palestine Will be free

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Kwa upande wangu kama haki imetendeka pasipo dhulma yoyote ni sawa kabisa, tena nitakua wa kwanza kufurahia Morocco wakiwa mabingwa.
Back
Top Bottom