Nashukuru kwa mchango chanya ni kweli kabisa baada ya katiba kupita kuna sheiria nyingi pia zitafanyiwa maerekebisho. Naamini kuwa sheria ya ndoa hata kama itakuwa na marekebisho lakini haiwezi kuruhusu ndoa ya jinsia moja.. Unajua sheria mara nyingi inaweza kuwa na maana zaidi ya moja...
Dr Kitila ni sawa viongozi nao ni wananchi lakini kumbuka mwamba ngozi huvutia kwake. Ukiwa Kiongozi unajua na kesho utakuwa Kiongozi au mwanao, ndugu yako naye atakuwa kiongozi siku moja hivyo Katiba inapoonekana inakuwa na uongozi mpana ni lazima wananchi wa kipato haswa kile cha chini wahoji...
Ukweli hapa umenigusa kuwa na serikali tatu kwanza ni kurahisisha mpasuko wa kutengana na hii serikali ya muungano itakuwa na kazi ipi hasa, ndani jamhuri moja kuwa na Maraisi watatu nikuzidi kuwanyonya watanzania ambao maisha yao kwa asilimia kubwa hayana mwelekeo kwani hapa naona ni namna ya...
Nadhani tunatakiwa sheria mbadala kwa watu wa namna hii kuwatenga na jamii na kuwanyima haki ya usawa kwa kudhalilisha utu wetu labda tutaweza kulifuta. Ndoa haiwezi kuzungumziwa kwenye katiba kwani tuna law of marriage inayopinga hili hata kubadili jinsia hairuhusiwi,usimamiaji naona umewekwa...
Kwanza napenda kuwa mmoja wa wanajamii forum katika kuchangia mawazo katika kuendeleza jukwaa zima la kuelimishana ama kukosoana katika kujenga jamii inayojielewa.
Ni vyema tunapoangalia suala hili la ndoa ya jinsia moja tukaliangalia kwa upana, serikali ki ukweli haina dini na pia inatoa uhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.