Recent content by Pacome zizuu

  1. P

    Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda

    Binafsi namshukuru jk kwa kuwa kipindi kile niliweaza kupata ajira ilihali ni mtoto wa kimaskini tu,siku hizi ili uajiriwe ni lazima uwajue watu
  2. P

    Clouds wananufaika vipi na mgogoro wa chama cha walimu? Naona wamekusanya chawa studio, TUCTA iliuawa kwa njia kama hizi

    Hiki chama kimepoteza ushawishi ,afadhali kipindi kile anakiongoza mkoba kilikuwa imara
  3. P

    Siku Walimu tutakapojitambua

    Acha kutudhalilisha ,sisi ndo tumefanya ujue kuandika huu upuuzi uliouandika,mbona hamsemi waandishi wa habari ambao hata akiwa na D 2 anaenda kusoma chuo na akishika kalamu ndo anakuwa kama wewe, waliopanga grade za kusoma ualimu ni wasomi wenye viwango vikubwa vya elimu kuzidi wewe,kuwa...
Back
Top Bottom