Siasa za 2027 zimeanza kuleta tension ground mapema. Maureen Masili kutoka Kibera anapigania maisha yake katika hospitali ya KNH baada ya kudaiwa kumwagiwa maharagwe moto kufuatia mabishano kuhusu slogan ya “Tutam” inayomuunga mkono President William Ruto.
Kulingana na familia yake, ugomvi...
CNN journalist Larry Madowo ameahidi kudonate Ksh129,000 alizoshinda baada ya kutajwa Human Rights Defender of the Year ili kusaidia young Kenyan journalist anayoreport issues za community.
Madowo alisema pesa hizo zitaenda kwa emerging journalists wenye wanafocus stories za social justice...
Nchi ya Kenya sasa imeingia kwa mjadala mkubwa baada ya serikali ya Marekani chini ya rais Donald Trump kupendekeza Kenya iwe quarantine na treatment hub ya watu wa Marekani waliopatikana ama kushukiwa kuwa na Ebola.
Mpango huo ukipita, Wamarekani waliotoka maeneo kama Democratic Republic of...
Maelfu ya familia za Kiislamu jijini Nairobi zimepokea afueni kidogo baada ya Nairobi Governor Johnson Sakaja kugawa mbuzi 700 kuelekea sherehe za Eid. Lakini nyuma ya tukio hilo, reality kwa common mwananchi bado ni ngumu kutokana na kupanda kwa gharama ya maisha.
Katika zoezi lililofanyika...
Former President Uhuru Kenyatta na serikali ya United Democratic Alliance wameendelea kurushiana maneno makali kuhusu hali ya maisha nchini.
UDA imemshambulia Uhuru baada ya kukosoa serikali ya William Ruto kuhusu kupanda kwa gharama ya maisha, mafuta na kodi kubwa zinazowaumiza wananchi wa...
Siasa za 2027 zimeanza kupamba moto mapema baada ya UDA Secretary General Hassan Omar kujikuta kwenye pressure kubwa kutokana na remarks zake kuhusu eneo la Mt Kenya.
Akizungumza kwenye mkutano wa kisiasa, Omar alihoji kwa nini baadhi ya viongozi na wananchi wa Mt Kenya wamekuwa wakimpinga...
ODM party imeashiria kuwa huenda isiweke mgombea wa urais mwaka 2027, huku party leader Dr. Oburu Oginga akisema focus yao kubwa ni coalition politics na kuongeza nguvu bungeni.
Akiongea Kisumu, Oburu alisema ODM wants to secure more MPs, MCAs and votes ili wawe na bargaining power kubwa ndani...
Hofu na majonzi zimekumba familia moja Sagana, Kirinyaga baada ya mtoto wa miaka 6, Shantel Nekesa, kutoweka akiwa njiani kutoka shule kwenda nyumbani.
According to the family, CCTV ilimuonyesha akiwa na mwanaume asiyejulikana before suspect allegedly bought her cakes kwa duka moja nearby...
Marekani imechukua hatua kali dhidi ya mkuu mmoja wa polisi nchini Tanzania baada ya kumwekea sanctions kutokana na madai ya ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi mkuu uliopita.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na serikali ya United States, Kamishna Msaidizi Mkuu wa Polisi, Faustine...
The statement in the photo is partially true but appears to be a paraphrased version of remarks made by Kenya's National Treasury Cabinet Secretary, John Mbadi, during a fuel crisis in May 2026.
Wananchi wengi hasa vijana wamepokea kwa huzuni taarifa ya serikali kuanza msako mkali dhidi ya websites zinazotoa movie, series na mechi za mpira bure kama Goojara na nyinginezo. Serikali inasema hatua hiyo inalenga kupambana na piracy na kulinda sekta ya ubunifu nchini.
Lakini kwa mwananchi...
Yusuf Mbashir (19), Ahmed Shaban (21) na Abdul Karim Salim (22) walizuiliwa Horohoro border kabla ya kukabidhiwa kwa maafisa wa Kenya huko Lunga Lunga, Kwale.
Polisi wanasema vijana hao hawakuwa na travel documents na walikuwa wakielekea kwa magaidi wa ISIS-linked militants huko Mozambique...
Wakenya wako divided baada ya Nairobi Baptist Church kutangaza vacancy ya Senior Pastor kupitia social media. Wengine wanasema ni transparency na modern leadership , lakini wengine wanauliza, “Kanisa sasa lina-hire pastor kama kampuni?”
Church inataka “visionary and Christ-centered leader”...
Baada ya mazungumzo yaliyofanyika Harambee House, transport operators wamekubali kusimamisha nationwide strike kwa muda wa siku saba ili kuipa serikali nafasi ya kufanya consultations zaidi kuhusu fuel prices na changamoto zinazokumba sekta ya usafiri.
Meeting hiyo iliongozwa na Interior CS...
Kenyans wameamka na “good news” kutoka EPRA baada ya diesel kushushwa bei kwa Ksh10.06 per litre. Lakini badala ya shangwe, wengi wanasema hii ni “too little, too late.”
Motorists Association of Kenya wamekataa reduction hiyo wakisema maisha bado iko juu sana. Nairobi motorists sasa watanunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.