KIAMBU: Daktari wa upasuaji katika Hospitali ya Level 5 Kiambu, Dr. Dennis Masoba Nyambane, 36, amezuiliwa kwa siku saba baada ya kufikishwa mahakamani Agosti 10, 2026, akihusishwa na kifo cha mke wake mwenye umri wa miaka 30, Mary Mwende Mutie.
Kwa mujibu wa taarifa zilizowasilishwa kuhusu...