Recent content by OwadeKuya

  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IEBC Yatangaza Rangi za Karatasi za Kura za Uchaguzi wa 2027

    Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) imetangaza rangi za karatasi za kura na vifuniko vya masanduku ya kura zitakazotumika katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Kila nafasi kati ya sita za uchaguzi itakuwa na rangi yake: Rais: Nyeupe Mbunge: Kijani Seneta: Njano Gavana: Bluu hafifu Mwakilishi wa...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sakaja asema atarejea City Hall, lakini je, Wananchi wa Nairobi wameridhika na kazi yake?

    Gavana wa Nairobi, Johnson Sakaja, amesema ana imani atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa 2027 na kuingia katika historia kama gavana wa kwanza wa Nairobi kuchaguliwa kwa mihula miwili mfululizo. Sakaja anasema atarejea kwa wananchi akiwa na unyenyekevu, kuwasilisha manifesto yake...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Daktari Kiambu afikishwa Mahakamani kwa kifo cha Mke wake

    KIAMBU: Daktari wa upasuaji katika Hospitali ya Level 5 Kiambu, Dr. Dennis Masoba Nyambane, 36, amezuiliwa kwa siku saba baada ya kufikishwa mahakamani Agosti 10, 2026, akihusishwa na kifo cha mke wake mwenye umri wa miaka 30, Mary Mwende Mutie. Kwa mujibu wa taarifa zilizowasilishwa kuhusu...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Besigye ashindwa Kesi ya kumrejeshea Martha Karua na Lukwago katika timu yake ya Mawakili

    Mahakama Kuu ya Kampala nchini Uganda imekataa ombi la Dkt. Kizza Besigye na Obeid Lutale la kurejesha mawakili Martha Karua na Erias Lukwago katika timu yao ya utetezi. Jaji Simon Peter Kinobe, katika uamuzi wa kurasa 42 uliotolewa Jumanne, amesema kuondolewa kwa Karua nchini Uganda na...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muswada Mpya Waweka Masharti Makali kwa Wanaotaka Kufungua Shule Kenya

    Muswada wa Sheria ya Elimu ya Msingi, 2026 unapendekeza masharti mapya na makali kwa watu au taasisi zinazotaka kuanzisha na kuendesha shule za msingi na sekondari nchini Kenya. Kwa mujibu wa muswada huo, mwombaji atalazimika kuwasilisha ombi kwa County Education Board, ambayo itatathmini iwapo...
  6. O

    JamiiForums Tanzania MPYA This statement is false.

    This statement is false. The quote attributed to Kenyan President William Ruto is fabricated and satirical.
  7. O

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais Samia Hakuwadhihaki Wanaume Wa Kenya Kufuatia Uchumba Wa Charlene Ruto

    The image circulating on social media features a fake quote maliciously attributed to Tanzanian President Samia Suluhu Hassan.
  8. O

    JamiiForums Tanzania MPYA No, the quote attributed to Millie Odhiambo in the image is fake.

    While it mimics real political friction within the Orange Democratic Movement (ODM), Suba North MP Millie Odhiambo did not make these specific statements.
  9. O

    JamiiForums Tanzania MPYA The statement is false and fabrigated

    Kiharu Member of Parliament Ndindi Nyoro did not issue this quote. The digital graphic has been fabricated to mislead the public following the traditional engagement ceremony (Koito) of President William Ruto's daughter, Charlene Ruto, on August 8, 2026.
  10. O

    JamiiForums Tanzania MPYA The statement in this picture is true

    This image features a fabricated or satirical news graphic featuring Charlene Ruto with a fake sensational quote regarding Ndindi Nyoro, which is a digitally manipulated and unverified claim.
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali Yaweka Kaunti 18 Hatarini Huku Kenya Ikijiandaa Kukabili El Niño Kali

    Serikali imeweka kaunti 18 katika hali ya tahadhari ya juu kutokana na uwezekano wa kukumbwa na madhara makubwa ya El Niño, huku mvua ya zaidi ya kiwango cha kawaida ikitarajiwa kuanza mwezi Oktoba 2026. Waziri wa Mambo ya Ndani, Kipchumba Murkomen, alisema Jumatatu, Agosti 10, 2026, kuwa...
Back
Top Bottom