Recent content by otherpeople

  1. O

    JamiiForums Tanzania Kula kwa Lowassa Kura kwa Magufuli

    Huna ishu wewe mtoa mada kakojoe ulale.lowasa ndo habari ya mujini ikulu lazima
  2. O

    JamiiForums Tanzania Genge la Lowassa ni janga la Taifa, wenye macho ya ziada walisaide Taifa hili

    Acheni ijinga nyie ndo genge la ccm.hivi mbona mimi nipo kote na sijawahi ona hizo hela za lowasa anazogawa????maccm muna kazi kwelikweliii
  3. O

    JamiiForums Tanzania Mfadhili wa CHADEMA, Dk. Eliud Tongola ajiunga ACT

    Wadhamin hata sisi tupo kwan tulivyoanzisha M4C alikuwepo???acha aende ukawa tunasonga mbele
  4. O

    JamiiForums Tanzania GE2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

    Hahaha Nape who are you????chadema inakuhusu nin????wewe subiri bao lako la mkono na wivini tukusukie
  5. O

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Mafuriko ya Lowassa/UKAWA ni moto wa mabua!

    Bora wizi wa richmond kuliko wa escrow yaan hawa ccm wanatuona watz wajinga sanaa sasa wataipatapata.najitolea kumsaidie lowasa kwa lolote lile
  6. O

    JamiiForums Tanzania Naomba wenye vidio za mwembeyanga na kwenye uchaguzi wa arumeru watuweke tujikumbushe

    Hiyo video mwombe nape au makonda
  7. O

    JamiiForums Tanzania Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Cv ya nape yann sasa.ndorooobooo
  8. O

    JamiiForums Tanzania Njama za CCM kumuweka Kizuizini Lowassa zaiva!

    Kama alikuwa mwizi na fisadi wa ukweli na ndo kilichomfanya abaniwe na ma ccm kwann wamuweke kizuizin???? Kwa hali hii inanionesha mimi kuwa kuna kitu huyu mzee anajua na yawezekana akaitikisa serikali
  9. O

    JamiiForums Tanzania GE2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

    In politics nothing happen unplanned.
Back
Top Bottom