Hebu tuangalie hili tukio halafu tulinganishe, mnamo 2010 nikiwa mwaka wangu 2 chuo, na kipindi mandela road inajengwa nikiwa naishi mabibo hostel yalifululiza matukio ya kugongwa na magari pamoja na picpic kwa wanahostel wa mabibo...pale mavuko ya hostel na lunch time...kitendo hcho tulikaa...
Vijana wengi wengi tunagoma bila kufanya uchunguzi wa chanzo cha tatzo...hv kama wangehusisha uongozi wa wanachuo DARUSO wakafika makao makuu TANESCO wakafahamu tatzo na kujua hatua za kuchukua kungeharibika jambo? Halafu vijana wengne anagoma kwa mkumbo akiulizwa hana hata hoja za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.