Ndugu yangu,
Ulichoandika wewe na hiyo makala ni NYIMBO zile zile za akina Ndugai, Kabudi etc walipokuwa wanahanjahanja kusaka na kulinda kula zao. Kwao maisha ni kufaidi na "Ukitaka kufaidi jipendekeze" Ndio Tanzania ilipofikia,na ndio LEGACY ya mwndazake. Nchi inapokwenda kombo ukanyamazia...
Ibada zenu zinaongozwa na njaa munazoendekeza. Kupinga au kutofautiana mitazamo, hoja katika maisha ndio uhalisia na sio kosa. Kama hujui ndio demokrasia ya kweli.
Bado yapo masalia yake mengi tu yanayoamini na kuzidi kujivuna katika ukatili na uonezi wa kishetani . Bila katiba mpya yataendelea kusumbua taifa letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.