Recent content by OSEFUKANY

  1. OSEFUKANY

    Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

    Mkuu; Watatwangana ok. Lakini hata ss huku bongo tutaonja joto ya jiwe - Hatutaishi kwa amani. Hebu fikiria kwa mfano wale ndg. zetu waTz (JW)waliopo pale chini ya UNIFIL (buffer zone).
  2. OSEFUKANY

    Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

    Haisaidii chochote ila majigambo yatapungua na Wasubiri kukutana uwanja wa mapambano ili kieleweke nani zaidi.
  3. OSEFUKANY

    Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

    Ila sasa Israel hajatamba kwamba ana kitu gani. Anasubiria H-hour (hitting hr). Ndipo atamshangaza Iran na wenzake. Ila broo; tujue na tukubaliane kwamba vita sio nzuri kabisa. Tuiepuke kila inapowezekana.
  4. OSEFUKANY

    Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

    Mkuu; Usiwatweze wengine. Kwa Binadamu yoyote yule; Ni dhambi kubwa au mbaya mno (ni kosa) kumrekodi mtu yeyote akiwa mtupu - huo ni Udhalilishaji wa kiwango cha juu na uliovuka mipaka. Hairuhusiwi na Haikubaliki kabisa.
  5. OSEFUKANY

    Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

    Hiyo Taarifa imetolewa na Chombo cha Habri cha Israel Maariv. Huo ni ushahidi kwamba Iran na yale mataifa mengine ya Kiarabu hapo Middle East hawana kitu ambacho Israel hakijui. Tukumbuke Neta aliwahi kusema Hakuna kilichojificha au hakijulikani na hakuna mahali popote Israel hawezi kufika ndani...
  6. OSEFUKANY

    IDF ni Jeshi lenye maadili, utu na heshima, hongereni kwa kuonesha maturity

    Khaa! Aisee Dokta, acha au hebu punguza kukidhalilisha au kukikashifu kitimoto. Hicho kiumbe ni kitakatifu ati.
  7. OSEFUKANY

    IDF ni Jeshi lenye maadili, utu na heshima, hongereni kwa kuonesha maturity

    Umefafanua vyema. Kama kuna atakayeshindwa kuelewa hapo ana lake jambo.
  8. OSEFUKANY

    IDF ni Jeshi lenye maadili, utu na heshima, hongereni kwa kuonesha maturity

    Hapana-Hapana kabisa. Labda wangeliiburuza maiti barabarani au wangeliiweka hadharani/uwanjani ili waitukane na kuitemea mate.
  9. OSEFUKANY

    Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

    Kweli. Ila ukiona mtu analiamsha wee kaa mbali naye sio mtu mzuri hata kidogo- hafai.
  10. OSEFUKANY

    Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

    Aisee! Halafu HAMAS nao walikuwa ni maduanzi kweli. Bila hata kujiuliza mara mbili-mbili, walipoona Ayatollah anawapa mizawadi ya AK 47 nyingi, RPG, mabomu, mafunzo n.k. vichwa vikavimba wakajitumbukizamo.
  11. OSEFUKANY

    Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

    Kumbe ww ni mfuatiliaji mahiri wa kile kinachoendelea huko. Sasa huo ndo mtihani alotoa Neta. Wakiufaulu, Neta amesema kwa mdomo wake vita inaweza kuisha hata kesho (sikiliza clip yake). Ni ukweli HAMAS wanaelekea ukingoni kwani wachungaji wao(Viongozi mashuhuri) wote wamepigwa(neutralised) na...
Back
Top Bottom