Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye...
Ni dalili mbaya kwa CCM,kelele zote zile za kumtaka Lowasa mbele ya mwenyekiti wa taifa ni dhihaka kwa mwenyekiti wa Taifa. wana CCM wanakosea wanapolazimisha Jina la Lowasa Kuingia wenye Tano Bora,il hal Katiba ya chama iko wazi kuwa,kikao cha CC lazima kitoe majina matano. kwani ni Lazima Lowasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.