Recent content by Orwazi

  1. Orwazi

    Kikwete meet Maalim Seif at State house Dar es Salaam

    Ahsante sana Mr. Pistal, kwa hiyo hao jamaa wamehitimishaje juu ya uchaguzi wa Zanzibar?
  2. Orwazi

    US gravely alarmed as Zanzibar elections cancelled

    We need to change the process of obtaining leaders. The laymen Tanzanias should be electing their constituency representative (well educated), and these should be the ones electing Leaders rather that involving each person in voting for presidency. Others are electing based on physical...
  3. Orwazi

    Kikwete announced Public Holiday for Magufuli sworn in

    Thanks Kikwete and God bless you.
  4. Orwazi

    UKAWA>>UKIWA Anecdote!

    Having done with that contemplation, you may proceed on contemplating "TANZANIA under UKAWA regime"
  5. Orwazi

    Wassira apewa hadhi ya Rais bungeni

    Kimsingi awamu ijayo tunahitaji mtu mwenye uchungu na nchi hii. Mtu mwadilifu, mchapakazi, kauli yenye mamlaka na mzalendo kweli kweli. Safari hii ikiwezekana tumpate mwanajeshi mmoja hasa aliyeendesha operation kimbunga, agombee kwa tiketi ya chama chetu, tumpigie kura za kishindo ili anyooshe...
  6. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    Mfano katika hizo nchi 2 sina ila ushahidi nilionao ni kutoka nchi ya Sudan Kaskazini ambapo Dokta aliyeolewa na mkristo (Mmarekani) aliponea chupu chupu kuuawa kwa jitihada za Marekani na hizo mahakama zenu. Somalia, mwaka huu mmama mmoja aliuawa kwa risasi kisa hakuvaa hijab. Wewe unayesema...
  7. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    Nakuhakikishia, mahakama ya kadhi haitakuwa suruhisho kwa sababu kuu mbili;- 1) UKOSEFU WA UTII KWA MAMLAKA. 2) TAMAA Yaani kutakuwepo na shida maana ninyi si dhehebu moja. Kadhi akiwa Shiha, Sunni hatomwamini maani maana hatakufunga na kufungua mnapishana. Tunaona mnavyovurugana wenyewe...
  8. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    Sawa kaka mi naona tuwaachie wawakilishi wetu kwanza kule mjengoni maana hapa hatuwezi badirisha lolote. Ahsubuhi njema, wabillah tawfique!!!
  9. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    Bro si kila kitu kinafaa kuigwa, katika nchi hizo hakuna yenye utulivu kama TANZANIA. Lakini pia, katiba ikiisha toa uhuru wa kuabudu ikiwepo kusajiri taasisi zake, si tayari?
  10. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    Tuombe uzima, kitakachosomeka kwenye katiba ni serikali kutambua uhuru wa kuabudu na si vinginevyo. Wakikosea wakaitamka eti mahakama ya kadhi, tambua hela zetu zimetafunika bure na katiba mpya hapo ndio utakuwa mwisho wake. NCHI HII INA WAHINDU, WAPAGANI, WABUDHA, WABAHAI, PATH, WAISLAM...
  11. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    Unaweza kuwa sawa kuwa elimu yangu "mimi binafsi/ si Wakristo wote" iko duni. Lakini HOJA yangu ni kuwa " Hivi mkiiunda kama mojawapo ya taasisi za BAKWATA, kitaharibika nini? Unajua kuna kanuni ya ngamia, anaingiza kichwa kwanza alafu kiwiliwili baadaye.
  12. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    Kwahiyo ISIS waachwe tu kwa vile wanaua Waarabu wenzao? Ama kwa hakika "mapenzi ni nusu ya uwendawazimu".
  13. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    acheni ukauzu, katiba ni ya watanzania wote bila kujali imani zao, sasa iweje tuingize mambo ya dini moja? Huoni kuwa hapo hakuna haki? Mnataka muanze kukata watu mikono, kupiga watu mawe kama al-shababu (sheria za musa), kuwazuia warembo kuokoka kwa kulindwa na katiba? Acheni ujanja ujanja...
  14. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    ashakhum si matusi " u don't deserve to be called a tanzanian but "the islamic state candidate and the supporter of bokho haram". Where do you get the courage to write such abusive statement to the farther of the nation. Bwana akuhurumie maana pengine umeshibishwa na roho ya chuki bila kutumia...
  15. Orwazi

    Kadhi courts has no place in the constitution

    kweli unajua sipati picha. Hivi karne hii tuna vijana wenye mtazamo hasi kama huu? Tumesoma wote, tumecheza wote, tunahudumiana mahospitalini na ofisi nyingine nk, hivi kwa nini tufike hapa? Achana na kuwaona watu wengine vibaya, fuatilia maudhui ya shekhe salum wa dar es salaam kupitia radio...
Back
Top Bottom