Hii mada ni nzuri!
Inategemeana na mwanaume mwenyewe. Kwani mpaka ifike hatua ya kuoa, atakua tayari amemkubali huyo binti. Awe na elimu nzuri ama la. Suala la kuamua yupi sahihi kwa kweli lina "rest" na mwanaume mwenyewe na sidhani kama ni sawa kupima yupi ni sahihi ama la.
Wanawake wenye...
Ni jambo zito ila ukweli ni kuwa mwanamke pekee ndio ajuaye baba wa mtoto ni nani.
Pole kwa msongamano wa mawazo ila kama unamuamini mwenzako, usipaniki hivyo kwani jingine laweza tokea (pressure).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.