Recent content by Opticnerve

  1. O

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: "Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya 'Fire'

    Ningemuelewa kama angegusia nusu ya watanzani ni wapiga kura!nchi hii dash inavitimbi sana!yaan watu million 37 wamejiandikisha kupiga kura idadi ya watz million 70+,huwa hatufi tz
  2. O

    JamiiForums Tanzania GE2025 Suala la kuzima mitandao linatuathiri sana sisi wafanyabiashara

    Moderator na wewe chawa
  3. O

    JamiiForums Tanzania GE2025 Suala la kuzima mitandao linatuathiri sana sisi wafanyabiashara

    Hiki chama kinatutesa sana
  4. O

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya Elimu Tanzania lipeni posho za walimu

    Kabla ya shule kufunguliwa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) iliitisha semina kwa walimu wanaofundisha kidato cha V na VI nchi nzima, kuanzia 21-22/06/2025 katika vituo mbalimbali kwa kila wilaya. Semina hiyo ilihusiana na kuwajengea uwezo walimu kuhusiana na mtaala ulioboreshwa na ni kama...
  5. O

    JamiiForums Tanzania Baada ya "nyongeza" E-loan kwenye mfumo wa ESS umezidiwa na kupelekea kufungwa kwa muda

    Watu wameshajua nyongeza kupitia eloan ya ess
Back
Top Bottom