Recent content by oppa123

  1. oppa123

    JamiiForums Tanzania Mishahara ya tutorial assistant vyuo vya umma

    Inategemea na chuo. Kuna baadhi ya vyuo TA anatakiwa kuwa na somo moja kufundisha na assist moja. Kama atakuwa na masomo extra anakuwa analipwa
  2. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ina maana hakuna maushuhuda kwenye zile pdf zote za jana, wadau?![emoji2374] Sekretarieti ya Ajira tunawaomba muendelee kutuletea pdf za kuitwa kazini kwa wingi. Kama mnavofanya hizo za kazi. Vijana wamepoa sana aisee. Mkeke hata uwe mzito kidogo tunaomba.
  3. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna pdf wadau
  4. oppa123

    JamiiForums Tanzania Nahitaji asali kwa wingi, anayeuza tuwasiliane

    Nauza, litre 10k. Unataka ngapi?
  5. oppa123

    JamiiForums Tanzania All in one HP Envy 20TB plus 2TB SSD inauzwa

    Display pekeake bei gani?
  6. oppa123

    JamiiForums Tanzania Binti anahitaji kazi ya kufanya usafi au kuuza duka

    Hapana kaka. Ni kutafuta maisha tu. Ikipatikana hapa Dar itakuwa vizuri
  7. oppa123

    JamiiForums Tanzania Binti anahitaji kazi ya kufanya usafi au kuuza duka

    Hapanaa
  8. oppa123

    JamiiForums Tanzania Binti anahitaji kazi ya kufanya usafi au kuuza duka

    Habari wanaJF, Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Nina binti yangu anahitaji kazi yoyote ile. Iwe ya kufanya usafi, hata kuuza duka. Ni binti ambaye yuko sharp sana. Yupo vizuri katika kufanya mahesabu. Na mwepesi wa kufundishika. Sifa zake: Umri :- 28 Elimu:- Form 2 Mahali:- anaweza...
  9. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Placement zinaweza chukua 3 months. Mimi pia tumefanya mwezi wa nane, hadi leo bado hatujaitwa. Ni uvumilivu, roho ngumuu, na Kumuomba Mungu roho ya subira. In TID’s voice “Stamina, Pumzi”
  10. oppa123

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi wa duka anahitajika

    Habari, Ulipata mtu?! Ninabinti anaweza kufanya hio kazi
  11. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sekretarieti ya Ajira mmetuwezaa hii week aisee[emoji1430]. Mmejua kuweza.
  12. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ila week hii[emoji1430][emoji1430] wametuweza[emoji23][emoji23]. Wametuweza haswaaa. Hili nalo lipite aisee
  13. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana. Mungu akutangulie katika kazi yako, ukawe mtumishi mwema mno. Ambao tunarndelea kusubiri, Aluta Continua[emoji16]
  14. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hii ni pure psychological torture wazee. Kusubiri matokeo ambayo ni 50/50, tunajipa moyo miezi yote hio kuwa pdf inayotoka inaweza kuwa inatuhusu. Chances za pdf kutoka siku hio nazo hazijulikani. Aiii inachosha kila muda kuchungulia kitu hujui kama kitakuwepo au lah. Na hapo pdf inaweza toka...
  15. oppa123

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ila kusubiri placement kunatufanye tuwaze vitu vya ajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom