Recent content by opondo

  1. opondo

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Wagonga chaki, na wafanyakazi wa halmashauri hizi tarehe wako juu ya mawe
  2. opondo

    Je ni kweli hapa Tanzania soko la teknolojia na tehama ni kwenye kutengeneza na sio kuunda?

    Ninaona madogo wengi wanamaliza course ya computer au ICT, au course yoyote Ile ambayo iko related na mambo ya computer lakini kichwani hakuna kitu kabisa, ata wachache wanaojua ambao Wana uwezo wakutengeneza website, (wanaitwa madeveloper) wanakuta kazi zao hazipo, kampuni zikitaka website au...
  3. opondo

    Nimepanga nisome open university degree ya ICT, Lakini malalamiko ya watu humu ni Mengi je ni uhalisia?

    Ndio naweza mkuu, any IT related course naweza kusoma kabisa, nilichagulia software engineering nikaacha nikasoma ualimu ili niajiriwe..
  4. opondo

    Nimepanga nisome open university degree ya ICT, Lakini malalamiko ya watu humu ni Mengi je ni uhalisia?

    Umenena vizuri boss, lakini nachoona shida sio kusoma, shida malecture ndio wasumbufu ata kumaliza after 3 years ndio shida Mzee.
Back
Top Bottom