wadogo zangu mnaopenda kujiunga na chuo hiki nawakarbshen sana waweza kuniuliza swali lolote kuhusu chuo chetu utajibiwa bila shaka KARBUN CHUO KIKUU ARDHI DAR ES SALAAM
Ukiwa tu namzazi mmoja hata kama bado kwenu mnamaisha bora ukiwa na uthibitisho wa death certficate. Ushachukua mkopo . Wenye wazazi wote wawili na hali zetu mbaya kupindukia hiyo heslb haijalitazama hlo na kutukatisha tamaa na masomo ya elimu ya juu kabisa. Waenga walisema"aliyenacho...
Ha2wez jua pengine hawa wa maisha bora ndo wanauhakika wa kurudisha mkopo haraka kuliko akina kayumba sie. Inakera sana familia hata hela ya nauli ni tatizo je usajili tutaweza? Tumuachie mungu ana makusudi yake kwa hili pengine riziki yetu haikuwa katika elimu.
Ndugu zangu husika na mada tajwa hapo juu kutokana na majanga yaliyotukumba first year kadhaa mwaka 2013/2014. Barchelor of science in urban and regional planing 2po wangapi wa index number did not secure. Mi ni moja wenu
Tuombeane wenzangu tangu chekechea tunasoma shule za kata hii ni kuonyesha ni jinsi gan wazaz we2 wasivyokuwa na uwezo wa kutugharamia ktk shule nzur lakin bado heslb haitutazami?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.