Habari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.