Wanasiasa wanapigia kelele sana ishu ya PPP kwa sasa! Maana wanajua ulaji wao upo humo!
Nilishangaa kusikia kuwa Wakorea wapo TRA wanaweka mifumo ya kodi na kuilink na mifumo ya Bandari! Ilhali EGA wapo na wana wataalamu kibao wazawa wenye uwezo wa kujenga mifumo.
Zile zama za upigaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.