Mpaka kujieleza apa inaonekana unajitambua sana, tumia utambuzi uo kujisimamia na kujitadhimin una uwezo wa kujisaidia bila kusikiliza ushaur wa watu humu, labda kama hujaamua tu. Mtu anaehitaji msaada kweli anaonekana tu, ukiona watu wanakukejeli pale unapoomba msaada ujue wanajua kabisa either...
Nimeshuhudia vyakula vikiwapa watu ulemavu wa kudumu kama KISUKARI, PRESURE, SHINIKIZO LA MOYO, KIRUBA TUMBO, FIGO n.k
Mavyakula kama Bugger, pizza, mavyakula ya sukari sana, UNYWAJIBWA MASODA, MAJUICE YA SUKARI yamewapa watu matatizo makubwa na wengi wamepoteza maisha, tunaona saiv kijana...
Andaaa content za Maudhui ya lishe, watu wengi sana wanafatilia maswalaa ya lishe.
Channel zinazofanya izo content naona ziinakimbiza sana, sema uwe na consistency na production nzuri ili watu washawishike kukufatilia.
Angalia ni kitu gani unachopenda sana kukifatilia mtandaoni, afu icho kitu kifanye wewe watu wakifatilie.
Embu oredhesha vitu unavopenda sana kuvitembelea, au ambavyo uko interested navyo afu nikupe Idea kutokana na ivyo vitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.