Recent content by online24

  1. O

    Hivi tutaishije kama hali ikiendelea kuwa hivi?

    Kama una NGUVU badala ya Kupanda MAUA na Mapambo yasiyo na faida nyumbani kwako weka Bustani, fuga kuku wako wa kienyeji, fuga mbuzi wako na ngombe mmoja wa maziwa. Katu hutolalamika.. ila ukiwa MVIVU wa kutolima utakula sumu tu maana wengi ni wavivu na wanataka matokeo ya chapu chapu na faida...
  2. O

    Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

    Kituo kinachofata ni CLOUDS wanajifanya kukaza shingo ila hawatoboi... KILA ZAMA NA ZAMA zake.. Radio zishakua outdated
  3. O

    TUJADILI: Mbinu gani sahihi itumike kuiondoa CCM madarakani?

    Tuombe USAIDIZI wa Nchi zingine ata Tanzania Ilisaidia Ukombozi wa Nchi fulan fulani Afrika..Ko USAIDIZI WA NJE ni Muhimu sana kwa apa tulipo..Kuna mataifa inabidi yatusaidie Kumuondosha mkoloni CCM na kuifanya Tanznaia Iwe Huru kutoka utawla wa KITUMWA utawala wa Kidikteta wa Chama kimoja tokea...
  4. O

    Amka, sali, oga, vaa pendeza, piga mishe zako, jioni nenda disco cheza au baki geto

    CCm inatakuwa ife ndo taifa lipate uhuru kamili hawa ni zaidi ya Wakoloni na mbinu zote za kikoloni ndo wanatumia dhidi ya watu wa nchi hii kuanzia Propaganda, na ukandamizaji na ubaguzi
  5. O

    Kasikazini panapwaya mno, wachaga zaeni hii ni aibu waliooa kwenu waja kuwa wabunge wenu, Kikeke ni mzanzibari Moshi VIJIJINI afata Nini?

    Unata tuache Ukabila kwamba wachaga tusiwe wachaga tuwe wasukuma au.. Ukabila haukwepeki... Kila eneo lina tamaduni zake na ni za kikabila na Mbunge anachaguliwa kulingana na tamduni za hao watu anaowaongoza.. maana Mbunge anatetea maslai ya watu wa eneo husika.. Na anatakiwa awe anawajua watu...
  6. O

    Picha kuna post kama hizi zenye kuchochea ukabila

    Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere...
  7. O

    Kasikazini panapwaya mno, wachaga zaeni hii ni aibu waliooa kwenu waja kuwa wabunge wenu, Kikeke ni mzanzibari Moshi VIJIJINI afata Nini?

    Ishu sio Ukabala..Ishu ni kwamba anakosekanaje mtu mzawa wa enek ilo anaishi apo.. Ilo ni Gap tusitetee ujinga bhana.. Rombo hatuwezi kukubali uo ujinga wa kuja kuongozwa na mtu ambae sio mzawa.. Moshi vijijin imekua ovyo ovyo maendeleo hakunaa kabisa.. ona sasa mmekosa watu imara wa...
  8. O

    KERO UDSM main campus kuwanyima haki wanafunzi wanaovaa kofia za cap kutumia baadhi ya huduma

    Wewe ULIZALIWA na nguo wewe?? mbona unavaa Nguo unaficha nn, Kwan ulizaliwa na Nguo?? Tuacheni kukariti Maisha usomi hauuusiani na kuvaa, swala la uvaaji ni destuti ya mtu wala sio usomi, Msifikir mtu kusoma ndo kutachange utaratibu wake mzima jinsi anavopenda kuishi na kuonekana, Ukitaka Rasta...
  9. O

    Kama kweli kuna peponi, hawa watu weupe wanavyotuchukia wangeleta kweli kitu kinaitwa dini ili twende nao huko peponi?

    Peponi Yenyewe ingekuepo Wazungu ungekuta washaenda uko, Kama sayari ya Mars tu wanaenda wachdche na kuna mpango wa kupeleka watu uko iyo Mbingu iko wapi,. MTu alikaa akadraft SIMULIZI na watu wakaziamini bas, Utasikia unabishana na mtu anakazana eti soma mstari fulan soma kifungu fulan badala...
  10. O

    Wachaga mpo! Mmelala mpaka Chama chenu kimeondoka , sasa mtabaki na nini?

    NDo Kukua kwenyewe uko, Ukianza kitu kikakubalika kikasambaa duniani ndo fahar yenyyewe... Sisi kama Wachaga tunawakaribisha waTanzania wote kujiunga na CHADEMA na watapewa nafasi sawa ikiwemo Uongozi ndani ya chama ili cham kiendelee kusamba zaidi, Kingebaki Kilimanjaro tu na kua na viongozi wa...
  11. O

    Wilaya ya Rombo inateketea kwa unywaji wa Pombe

    Uko ambako hawanywi pombe kuna maendeelo gani kuzidi Rombo.
Back
Top Bottom