Recent content by online24

  1. O

    Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

    Mpaka kujieleza apa inaonekana unajitambua sana, tumia utambuzi uo kujisimamia na kujitadhimin una uwezo wa kujisaidia bila kusikiliza ushaur wa watu humu, labda kama hujaamua tu. Mtu anaehitaji msaada kweli anaonekana tu, ukiona watu wanakukejeli pale unapoomba msaada ujue wanajua kabisa either...
  2. O

    Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

    Walikimbiloa Dodoma kisiasa, acha wazifunge tu
  3. O

    Msaada dawa ya kuacha pombe

    Nina same age ila nakula sana nyeto, sijui ka nitaacha
  4. O

    Kuacha punyeto ni vita ngumu kuliko vita ya Gaza

    Kumbe ukioa nyeto haiachwi[emoji23]
  5. O

    Nahitaji mwanamke wa kuoa

    Mbona una nongwa, kwani ametaka akuoe wewe
  6. O

    JamiiForums Usiku wa manane

    Ya asubui
  7. O

    Bado nina mashaka kuhusu kitabu hiki cha Biblia

    Nimeshuhudia vyakula vikiwapa watu ulemavu wa kudumu kama KISUKARI, PRESURE, SHINIKIZO LA MOYO, KIRUBA TUMBO, FIGO n.k Mavyakula kama Bugger, pizza, mavyakula ya sukari sana, UNYWAJIBWA MASODA, MAJUICE YA SUKARI yamewapa watu matatizo makubwa na wengi wamepoteza maisha, tunaona saiv kijana...
  8. O

    Blog ya kiswahili ni rahisi lazima niifungue

    Andaaa content za Maudhui ya lishe, watu wengi sana wanafatilia maswalaa ya lishe. Channel zinazofanya izo content naona ziinakimbiza sana, sema uwe na consistency na production nzuri ili watu washawishike kukufatilia.
  9. O

    Blog ya kiswahili ni rahisi lazima niifungue

    Angalia ni kitu gani unachopenda sana kukifatilia mtandaoni, afu icho kitu kifanye wewe watu wakifatilie. Embu oredhesha vitu unavopenda sana kuvitembelea, au ambavyo uko interested navyo afu nikupe Idea kutokana na ivyo vitu
  10. O

    Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

    Iman yako unvoamini, kwan nishawai kukufuata nikakuambia upige nyeto, iweje leo ndo nionekane nakuhamasisha kupiga nyeto angali ulipiga nyeto zako kwa miaka 17 bila kunisikia mimi
Back
Top Bottom