Ashaumbuliwa kwa matamshi yake Tena yule mropokaji Musukuma ashatuibia Siri kuwa alikuwa MTU wao huku alikuwa anatafuta wa kumeguka nao amewakosa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acheni mdhulumiwe.....Lissu ashawaambia gomeni hamtaki....kila mfanyakazi Ni CCM unategemea nini. Tena wakishushe zaidi mpate akili angalau mtashituka. Nyie na ndege wale kweleakwelea hakuna tofauti
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Walivaa.....kabla na hatukuona madhara yake. Hao mabinti zenu wakiingia disco na kutembelea Beach wanapigilia kaptura eti JKT Ni kinyume. Acheni udini kwenye Mambo ya kiserikali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu hapo huyo Makonda wako Ni usukuma tu ndio unakuumiza....hafai kwanza anatakiwa kuwa jela. Hivyo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usituchefue tumekula supu ya gharama ujue.....hili chapisho bandika kwenye kuta za nyumba yako siku watoto wako wakikua wataona ulivyo kuwa wa hovyoo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kubali yaishe hivi hii pumvi nzito ya kuzuia katiba Bora na tume huru ya uchaguzi unadhani Ni kwa ajili ya nini? Mkuu Kama hata kwa mkeo unaweza kupiga rushwa wewe tembeza ndio sera ya CCM vinginevyo utakufa njaa. Huko maofisini kila mtu boss, typist Hadi watafuta mafaili Ni chochote ndipo...
Kwani ashasikia wanalalamika.....hao hawana hata kikokotoo.....hata Ile habari ya vyeti feki huko hakuna aliyeguswa. Ningedhani Kama angekuwa mzalendo awasemee walimu, madaktari na manesi.
Polisi Wana mishahara midogo mnooo na pia ukipitishia kikokotoo Hawa kwa hulka Wana kuwa na kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.