Necta, watoeni watanzania wasiwasi ili waangalie mambo mengine ya kufanya. Wanamajukumu mengi mazito na siyo kusubiria matokeo ya mtihani wa kidato cha nne 2011 tu.
Tatizo ni nini watu wanakua na kigugumizi. Tangazeni matokeo ya kidato cha nne 2011 ili watu wajue cha kufanya.maana wanafunzi wenyewe sasa hivi wanakosa amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.