Recent content by Omu

  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara Waandamana Nairobi Kupinga Sh3.2M ya KRA

    Ijumaa, Agosti 28, shughuli za biashara katika sehemu za Nairobi CBD, Kamukunji, Gikomba na Nyamakima ziliathirika baada ya wafanyabiashara kufunga maduka yao na kuandamana kupinga kiwango kipya cha tathmini ya forodha kilichowekwa na Kenya Revenue Authority (KRA). Kiini cha maandamano hayo ni...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi Wapata Muonekano Mpya: Rais William Ruto Azindua Sare Mpya Kiganjo

    Rais William Ruto amezindua rasmi sare mpya za maafisa wa General Duty wa Kenya Police Service katika hafla iliyofanyika Ijumaa, Agosti 28, 2026, katika Kenya Police Training College, Kiganjo, Kaunti ya Nyeri. Chini ya muundo huo mpya, maafisa watavaa shati za rangi ya sky blue, suruali za...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Hakuna Mkenya Anayepaswa Kufa kwa Kukosoa Serikali” - Rais William Ruto Asema Maandamano ya Amani Ni Msingi wa Demokrasia

    Rais William Ruto amesema hakuna Mkenya anayepaswa kupoteza maisha, uhuru au heshima yake kwa sababu tu ya kuikosoa serikali, kutoa maoni yasiyopendwa na wengi au kushiriki maandamano ya amani. Akizungumza katika Kongamano la 16 la Katiba lililofanyika KICC, Nairobi, Agosti 27, 2026, Ruto...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazee wa Samburu Wapiga Marufuku Ndoa za Utotoni, Wataka Kila Mtoto Aende Shule

    “Mtoto ni wa shule, si wa ndoa.” Huo ndio ujumbe mpya kutoka kwa wazee wa jamii ya Samburu baada ya kutangaza msimamo mkali dhidi ya ndoa za utotoni na kusisitiza kuwa kila mtoto anapaswa kuandikishwa na kubaki shuleni. Uamuzi huo ulifikiwa na Samburu Council of Elders Association (SCEA) katika...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ‘Take Your Boreholes Back to Canada’: Kauli ya Mbunge Gideon Mulyungi Yazua Hasira Mwingi

    Mbunge wa Mwingi Central Gideon Mulyungi amezua mjadala baada ya kuionya shirika la Lifewater Canada dhidi ya kuchimba visima katika eneo bunge lake bila kuhusisha jamii na ofisi yake. Akizungumza katika hafla ya hivi karibuni, Mulyungi alisema shirika hilo lazima lishirikishe wananchi pamoja...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Content Creators Msijali”: Gavana Johnson Sakaja Afafanua Nani Hasa Atalipa Ada Mpya za Filming Nairobi

    Baada ya mjadala kuzuka kuhusu ada mpya za filming Nairobi, Gavana Johnson Sakaja amefafanua kuwa content creators wa kawaida, influencers na vijana wanaotengeneza video za social media sio walengwa wa ada hizo. Sakaja amesema Nairobi City County Finance Act, 2026 inalenga zaidi professional na...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KSh8,000 Kupiga Shoot Nairobi? Sheria Mpya Yazua Gumzo

    Sheria hiyo mpya imeweka ada ya KSh8,000 kwa kila commercial filming session ya local production, huku production teams kutoka nje zikitozwa KSh50,000. Music video production itagharimu KSh10,000, huku content creation studios zikitozwa KSh40,000 kwa mwaka. Influencers wanaoandaa monetised au...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Degree Si Lazima 2027? IEBC Yafafanua Nani Anaweza Kuwania Kiti

    Kamishna wa IEBC Ann Nderitu amesema kuwa kwa sasa hakuna sharti la jumla linalomtaka aspirant kuwa na degree ili kuwania nafasi hizo katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Ufafanuzi huo unatokana na maamuzi ya mahakama yaliyobatilisha baadhi ya vifungu vya Section 22 of the Elections Act vilivyoweka...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ‘Sitaki Kuitwa Sponsor’: Uhuru Akanusha Madai ya Kufadhili Upinzani Kuelekea 2027

    Aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta amekanusha madai kwamba anafadhili viongozi wa upinzani wanaojiandaa kumpinga Rais William Ruto katika Uchaguzi Mkuu wa 2027, akisisitiza kuwa uamuzi wa nani ataongoza Kenya uko mikononi mwa wananchi. Akizungumza Kitale wakati wa kumbukumbu ya aliyekuwa Makamu wa...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Nini Hutakubaliwa Kupiga Picha Ballot Paper Yako 2027? IEBC Yaeleza

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imefafanua kwa nini wapiga kura hawataruhusiwa kupiga picha ya ballot paper baada ya kuweka alama kwa mgombea wanayemtaka katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Kamishna wa IEBC Ann Nderitu amesema hatua hiyo inalenga kulinda moja ya misingi muhimu ya uchaguzi...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa Sio Automatic 50/50: Mahakama Yatoa Uamuzi Kuhusu Mali ya Wanandoa

    Umeishi kwenye ndoa, mkajenga mali pamoja, halafu ndoa ikavunjika - je, kila mmoja anaondoka na 50%? Mahakama ya Rufaa imesema: si lazima. Mahakama ya Rufaa nchini Kenya imeamua kuwa kuwa kwenye ndoa pekee hakumpi mwenza haki ya moja kwa moja ya kupata nusu ya mali ya ndoa. Badala yake, mgao...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2027 Countdown Yaanza: Watumishi wa Umma Wanaotaka Viti Wapewa Hadi Februari 10 Kujiuzulu

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetangaza kuwa watumishi wa umma wanaopanga kuwania nyadhifa mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 10, 2027 wanatakiwa kujiuzulu kufikia Februari 10, 2027. Mwenyekiti wa IEBC Erastus Ethekon amesema tarehe hiyo ni miezi sita kabla ya uchaguzi na...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Yajipanga Kutwaa Ufunguzi na Fainali ya AFCON 2027

    Kenya imeonyesha matumaini makubwa ya kupewa nafasi ya kuandaa sherehe za ufunguzi na kufunga mashindano ya AFCON 2027, yatakayoandaliwa kwa pamoja na Kenya, Uganda na Tanzania. Local Organising Committee (LOC), inayoongozwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye, imewaambia...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ‘Don’t Be Silly!’ Passaris na Jayne Kihara Wakwaruzana Vikali Mubashara Runingani

    Mjadala wa kisiasa uligeuka kuwa vita vya maneno baada ya Mbunge wa Naivasha Jayne Kihara na Mwakilishi wa Wanawake Nairobi Esther Passaris kukwaruzana vikali mubashara runingani. Wabunge hao walikuwa kwenye kipindi cha TV47 Alhamisi, Agosti 20, 2026, wakijadili uchochezi wa kisiasa kuelekea...
Back
Top Bottom