Recent content by Ommydee

  1. Ommydee

    Pamba imenasa sikioni

    Jmn habari zenu naomba msaada wenu nilikuwa nasafisha sikio kwa Banat mby pamba imenasa ndani hata kuonekana haionekani icho kipamba msaada ndugu zng
  2. Ommydee

    Msaada: Daktari kaniambia mke wangu hawezi kupata mtoto kwa sababu tunatofautiana rhesus factor

    Hapana mkuu ela sio kitu kwny uzma wa mtu ila ilikuwa kitu kgeni kwa upande wng ndo maana nikaja huku mnipe mawazo yanayoendana na tatzo ila nashukuru sana wadau zng wa humu kwa kunipa mawazo chanya
  3. Ommydee

    Msaada: Daktari kaniambia mke wangu hawezi kupata mtoto kwa sababu tunatofautiana rhesus factor

    Nashukuru kk iyo cndano ichomwe kpnd gani wa ujauzito wake
  4. Ommydee

    Msaada: Daktari kaniambia mke wangu hawezi kupata mtoto kwa sababu tunatofautiana rhesus factor

    Alichosema yeye kwmb kuna sindano ya dawa anatkiwa achome itagharimu laki 4
  5. Ommydee

    Msaada: Daktari kaniambia mke wangu hawezi kupata mtoto kwa sababu tunatofautiana rhesus factor

    Jamani waungwana naombeni msaada, Kwa madaktari nimetoka hospital na wife wangu tumepima vipimo vyote tuko poa ila tatizo kwenye blood group yeye ana O negative na mimi nina B positive kwa maelezo ya daktari kasema hapa kuna uwezekano mke wangu akawa hapati mtoto na hata kama akipata basi mtoto...
  6. Ommydee

    Tamthilia ya Usidingo

    Hivi jamn hii tamthilia mnaielewa kwl maana haiish nakumbuka toka nipo shule ya mcng toka 2000 had leo khaaaa hii tamthilia noma
  7. Ommydee

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Poa poa mdau
  8. Ommydee

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Mkuu iyo frequence ya 11192h 3210 nmepata Rodriguez 1 & 2 lkn hazionyesh zpo giza tu nmekosea wap hap msaada kk?
  9. Ommydee

    Ving'amuzi vya Azam vibovu

    Sio kwl jmn mbona mi changu kina miaka 3 tena ni vile vya toleo vya kwnz kipo poa kabisa hakina shda jaribun kumwita fund akichek labda sehem ulipogongelea misumal inalegea ndo maana kinapoteza signal au kusikrachi
Back
Top Bottom