Hapana mkuu ela sio kitu kwny uzma wa mtu ila ilikuwa kitu kgeni kwa upande wng ndo maana nikaja huku mnipe mawazo yanayoendana na tatzo ila nashukuru sana wadau zng wa humu kwa kunipa mawazo chanya
Jamani waungwana naombeni msaada,
Kwa madaktari nimetoka hospital na wife wangu tumepima vipimo vyote tuko poa ila tatizo kwenye blood group yeye ana O negative na mimi nina B positive kwa maelezo ya daktari kasema hapa kuna uwezekano mke wangu akawa hapati mtoto na hata kama akipata basi mtoto...
Sio kwl jmn mbona mi changu kina miaka 3 tena ni vile vya toleo vya kwnz kipo poa kabisa hakina shda jaribun kumwita fund akichek labda sehem ulipogongelea misumal inalegea ndo maana kinapoteza signal au kusikrachi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.