Bei ya kusafirishia ni kati ya elf 8000 mpaka elf 10000 itategemea na saiz utayochukua
Magari yanapatikan uyole
Na vibali ni ushuru2 hamna kibali chengine
Unajua mkuu viongozi wengi wa serikali za mitaa kama hao wenyeviti na watendaji hata form4 hawajafika unahisi wataelewa kuhusu mambo ya kisheria just wanakwenda kwa uzoefu tu
Nashukuru mkuu kwa maelezo yako ila mkuu kuna gharama ambazo nazo nimeingia kama kununua vifaa kwa ajili ya biashara unahis navyo wataambiwa walipe? Maana niliwahi kwenda kwenye serikali za mitaa lakini ukiwaambia kwamba kuna gharama niliingia out of kwenye mkataba wananiuliza kwani...
Kuna mtu niliingia naye mkataba wa kunikodisha chumba cha kufanyia biashara, chumba kilikua hakijakamilika kimatengezo kwahiyo akaniomba fedha kwa ajili ya kukamilisha matengenezo tukakubaliana na mimi nikaandikishiana naye kwamba anipe chumba kikiwa kimekamilika kimatengenezo.
Mimi nikaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.