Recent content by ombeni Anton

  1. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

    https://eu.docworkspace.com/d/sIOqNyd2lAfTalKUG?sa=com.samsung.android.messaging&st=0t
  2. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

    DPW hii hapa wakuu kwa anayetaka link 👇👇👇👇👇 https://eu.docworkspace.com/d/sIOqNyd2lAfTalKUG?sa=com.samsung.android.messaging&st=0t
  3. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Nakukumbusha Nape Nnauye kwamba Mbowe si kama Lowassa uliyemtukana utakavyo

    Utumbo wake upo kichwani na ubongo ukashuka tumboni,. Pale sijaona cha maana alichosema zaidi ya kumpamba SSH na kumshambulia Mbowe vitu vyote hvyo ni nje ya mada iliyokuwa mezani
  4. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Nakukumbusha Nape Nnauye kwamba Mbowe si kama Lowassa uliyemtukana utakavyo

    Hawa ni wanyonyaji sana, sijawahi sikia rasilimali za Zanz zikiguswa hata kidogo, na Mbowe ni mzawa wa Tanganyika lazma apate hofu na uchungu, hivyo namshangaa sana hata huyu Nape Nnauye
  5. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Nakukumbusha Nape Nnauye kwamba Mbowe si kama Lowassa uliyemtukana utakavyo

    Kama sio kweli kwanini Zanz haiguswi?? Think twice
  6. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Nakukumbusha Nape Nnauye kwamba Mbowe si kama Lowassa uliyemtukana utakavyo

    🤣🤣🤣😂😂🤝🤝🤝, yaani hata radi ianguke wakiwa wanapiga porojo kule iwakaushe tujue namna ingne
  7. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Nakukumbusha Nape Nnauye kwamba Mbowe si kama Lowassa uliyemtukana utakavyo

    Yaani hata kuwa kiongozi yeyote huku kama waziri, Makamu wa Raisi, Spika au naibu spika, maana toka SSH aingie nasikia vurugu za huku Bara tu, ikiwemo Ngorongoro, Loliondo, Serengeti kule kwa waitara na sasa kahamia bandarini, yaani all potentials of Tz are in the market nw, vinauzwa kwa fujo mno
  8. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kimachame ni wanawake bora kabisa wa kuoa

    🤣🤣😂😂 bwashee tusiseme ukweli??? Wanajitoa sana ktk kazi na ndio maana hata kimapenzi hawapo vizuri sana.
  9. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wameru kusema wao si Wachaga inashangaza sana!

    Wajaluo mbona ni tofauti sana na hao wameru/wachaga?? Wajaluo wapo mwanza na Mara huko Kanda ya ziwa.
  10. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wameru kusema wao si Wachaga inashangaza sana!

    Huwa watu hawafahamu kati ya kabila na "Tabaka" ndani ya kabila, mfano hakuna kabila linaitwa "Warombo, au Wasiha, au wakibosho" ila woote hao ni Wachagga
  11. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wameru kusema wao si Wachaga inashangaza sana!

    Mwangu kule nadhani ndio laana ya kumwaga damu ilipatikana, maana uhasi uliofanyika sio wa kitoto
  12. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kimachame ni wanawake bora kabisa wa kuoa

    Respect sana kwa wanawake wa kichgga na wachagga wote
  13. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wameru kusema wao si Wachaga inashangaza sana!

    😂😂😂😂 wameru wa Tengeru wakiliamshaga dude hata polisi hawafiki kuwatuliza 🙌🙌🙌
  14. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kimachame ni wanawake bora kabisa wa kuoa

    Hizo mali huko uswahilini zitapatikana wap wakati kila wakati ni kuvunja chaga??
  15. ombeni Anton

    JamiiForums Tanzania Wameru kusema wao si Wachaga inashangaza sana!

    Wachagga ni locations tu zinawatofautisha, maana Warombo, Wamarangu, Wasiha, Wameru, Wamachame, Wasiha nk woooote hao ni kabila 1 ni vile tu matamshi kwa baadhi ya maneno yanatofautiana, angalia Climate, Traditions, nk
Back
Top Bottom