Wadau sijapata jibu bado nahitajika nipate kibali Cosota au kuna chama chochote kinatoa kibal kwa ajil ya kukodisha cd za movie za Kitanzania?Kama kuna mdau anajua hili anisaidie maana ninakahela kangu kangama nataka nikaingize hapo na nishaanza kukadokoa kasiishe bure mdau ajitokeze nami niweze...
Wadau nimekuja hapa kwenu JF najua hamna kinachoharibika maana meng hutatutuliwa humu nahitaji kufungua library ya kukodisha mikanda ila nahitaji iwe ya kisheria zaid nauliza kunataratibu zozote zile zinafanyika kwa wenye mamlaka na Bongo movies kuzikodisha?
Yaan kama ukataji wa kibali naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.