Recent content by Omary Manjua

  1. Omary Manjua

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Hakuna binadam aliyekamilika MAMA YETU naamin ni mpenda ushaur kwahiyo tuache tutumie mabando yetu kwa gharama zetu kumshaur Mama inakuuma nini,siku za nyuma tulikuwa hatuna uwezo wa kushaur lakin kwa sasa tuko huru kwahiyo tuache tushaur tunavyotaka!,Kama imekuuma sana kumshaur mama Zima data...
  2. Omary Manjua

    IKULU, DAR: Mama Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Kila mtu anatumia bando lake kwa gharama yake na ukiona thread haikuvutii unaacha kusoma hujalazimishwa!..Sheet!
  3. Omary Manjua

    IKULU, DAR: Mama Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Historia Imeandikwa tunakuamini Mama,Dua nyingi tunakuombea,Tunajua hukutarajia cheo hiki lakin kwa uzoefu wako ktk uongoz hakika utatuvusha na tuna imani kubwa na wewe!.
  4. Omary Manjua

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Tunakuamin Mama yetu(Rais wetu) na hakika utaweza kutuvusha hapa tulipo kutupeleka mbalia zaid,Una uzoefu wa uongozi ktk nchi hii na utendaji kazi wa watu wako, hivyo Chagua Makamu wa rais umtakaye na sio wa kwenye Magazeti au Social media!..TUNAKUOMBEA DUA MAMA YETU!
  5. Omary Manjua

    "Nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania masikini" Maneno ya kweli kabisa ya hayati mpendwa Rais Magufuli

    NAONA SIFA ZOTE ZINAENDA KWAKE AU KWASABABU AMEKUFA! Anyway!..ALIYEKUFA AONGELEWE KWA MAZURI HIVYO MAGU AMEFANYA MAZURI MUNGU AMUWEKE SEHEMU ANAYOSTAHILI!
  6. Omary Manjua

    Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

    Naamin nchi yetu ina misingi imara na tumepata Jembe jipya lenye makali zaid ya aliyepita,Rais wetu mpya atatuongoza vyema na atakuwa bora pia! TUMUOMBEE DUA MAMA YETU RAIS WETU SAMIA SULUHU HASSAN HAKIKA ATATUVUSHA!
  7. Omary Manjua

    "Nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania masikini" Maneno ya kweli kabisa ya hayati mpendwa Rais Magufuli

    Marais Wote waliopita wana mazuri yao mengi waliyoifanyia Tanzania hivyo Kifo Cha Magu kisitufanye tusahau mambo mazuri waliyoyafanya akina Kikwete,KILA MTU ATAACHA ALAMA YAKE TANZANIA SIO MAGU TU!
  8. Omary Manjua

    The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

    #Nonsense! wote nyie ni wachumia tumbo tu,Hamjui hata hapa duniani mmeumbwa kwa ajili gani ndio maana mnatetea uovu hali ya kuwa miyoni mwenu mnajua ukweli ni upi!..Ndugu yang Kumbuka ipo siku utakutana na Mungu wako aliyekuumba hivyo bas usitetee uovu kana kwamba utaishi duniani milele!.
  9. Omary Manjua

    The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

    Bro siku hizi post zako na Makala zako unazopost sizielewag hata kidogo. Sijui umelishwa siku hizi nini hata sielewi,Au ni huo uwoga wa maisha unahofia kupotezwa[emoji2][emoji2][emoji2]Pascal Mayalla
  10. Omary Manjua

    Walimu mmetengeneza chuki mbele ya jamii

    Unachosema ni sahihi,na hayo ni mawazo yako inabid yaheshimiwe kwan una uhuru wa kutoa maon kadri uwezavyo,Lakin usiwahukumu walimu kwa fikra zako ulizonazo kwan Ushahid wa mawazo yako huna n sidhan kwamba Walimu wote wanaweza kufanya kitendo hicho ila huenda wapo baadhi ya wachache ambao sio...
  11. Omary Manjua

    Suala la baadhi ya viongozi wa kisiasa kutafuta hifadhi za ukimbizi ubalozini, mashirika ya wakimbizi ni "Cover Story"

    Akimbilie Kwa rafiki yake dikteta ili Wapange njama ya kummalizia kabisa!,Yani wewe bwege kweli.
Back
Top Bottom