Surely ulimaanisha Ulaya na si ukaya, haya tuambie Ulaya ya wapi kanisa limegeuzwa bar? Mwamposa na the likes walianzia kuhubiria majengo ya kukodi yalokuwa bar, unajua mwamposa alianzia wapi wakati akivaa pensi na cheni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.