Mchumi Arthur Laffer aliyezaliwa 1940, na kusoma katika vyuo vinavyosifika kwa uchumi kama Stanford na Yale, ambaye pia amehudumu kama Professor katika Chuo chenye shule nzuri ya Uchumi University of Chicago, alileta muonekano mzuri wa kuhusu kodi.
Laffer anasema ukiwatoza watu sana kodi...