Recent content by oloshir

  1. O

    Halmashauri(w )ya chemba inanyanyasa watumishi kwa kuwalazimisha kuhama

    Halmashauri ya wilaya ya Chemba ni wilaya iliyopo mkoani dodoma ambapo ilizaliwa kutoka wilaya ya Kondoa 2012/13. Wilaya hii ina ofisi zake ndani ya mji mdogo wa kondoa kwa sasa iwapo makao yake makuu yapo kijiji kinachoitwa Chemba kilichopo njian 50km ukitoka kondoa kwenda Dodoma mjini. Tatizo...
  2. O

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Mim nipo moro natumia Ting ila naona wameondoa channel zote na imebaki morng star tu. Naomba msaada
Back
Top Bottom