Recent content by oliver

  1. O

    Mkoa upi wa Tanzania wenye wasichana wazuri?

    Jamani alisema wahangaza yupo sawa kabisa. Umbo namba 6. Mpo hapo?
  2. O

    Mwanamke anahitaji nini kutoka kwa mwanaume?

    Nakupa big up sana kwa message ya kuelimisha jamii hasa kwa wanaume. Jamani wanaume mkifata huo ushauri ndoa zenu zitadumu milele. Tatizo la wanaume akishakupata anajua kamaliza yote. Hajui kuwa wewe ni mwanadamu waweza kubadirika kwa kukosa yale mapenzi ya dhati. Jamani badirikeni muwapende...
  3. O

    Mwanamke anahitaji nini kutoka kwa mwanaume?

    Nakupa big up sana kwa message nzuri ya kuelimisha jamii. Kuna watu ambao hawajui majukumu yao juu ya wake zao au wapenzi wao. Akishakupata tu basi kamaliza. Jamani wanaume huyo ndugu kawasaidia sana.
  4. O

    Hii Imekaaje Wakuu

    Huyo demu hakufai kabisa ni kicheche. Angalia maisha yako yasije yakawa majuto hadi kufa.
Back
Top Bottom