Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
OLIKOBO JR
Recent content by OLIKOBO JR
O
Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote
Hayo mawazo yake ila ajue £ 27 milioni mpunga wa watu unahitajika mapema tu
OLIKOBO JR
Post #185
Nov 22, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda
kiti cha uraisi ni kitamu sana kwa dalili zinavyoonekana ataongeza muda tu maana wale anaokulanao mema ya nchi watamushauri sana aendelee
OLIKOBO JR
Post #183
Nov 11, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
IGP Sirro: Polisi hatuna taarifa kuwa Tundu Lissu ametishiwa kuuawa
Hana taarifa za Lisu kukimbilia ubalozini wakati alituma polisi wamukamate ubalozini yana mwisho.
OLIKOBO JR
Post #37
Nov 8, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji
Kuna wengine wanajiona wana hati miliki ya nchi hii na niwabinafsi sana wakidhani wataishi milele na hivyo vyeo pole kamanda Lissu yana mwisho tu
OLIKOBO JR
Post #239
Nov 7, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
Askofu Mwamakula: Tundu Lissu aomba hifadhi Ubalozi wa Ujerumani baada ya vitisho vya uhai wake
kamanda Lisu tunakuombea mungu yupo pamoja na ww hao watakutisha lkn hawatashinda
OLIKOBO JR
Post #262
Nov 6, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
Kama umeingia madarakani kwa dhuluma na ghilba, huwezi kufika 2025
kama umeiba kama umeiba na unakula na kukalia kiti husichositahili mungu awaadhibu hao
OLIKOBO JR
Post #88
Nov 6, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
GE2020
Hafla ya kuapishwa Dkt. John Magufuli kuendelea na Awamu ya Pili ya Urais wa JMT uwanja wa Jamhuri, Dodoma 05 Oct 2020
unafukuza wenye vyeti feki alafu unapata uongozi kwa kura feki hakika tungeishi milele hapa duniani tungetesana sana ila tunapita tu vyote vina mwisho
OLIKOBO JR
Post #94
Nov 5, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam
yes si kila polisi anawez kuwa kamanda wa dar
OLIKOBO JR
Post #93
Nov 2, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
GE2020
Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya
Ni aibu sana kilichofanywa na tume haiwezekani nyaraka nyeti zipatikane mtaani
OLIKOBO JR
Post #335
Nov 2, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
GE2020
Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti
Kamanda Lissu tunakuombea yana mwisho
OLIKOBO JR
Post #33
Nov 2, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
GE2020
Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi
sawa kiranja wa dunia tusaidie
OLIKOBO JR
Post #285
Nov 2, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
GE2020
Polepole: CHADEMA walichapisha kura feki ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu
slow slow anatetea tumbo lake na jamaa slow slow anatetea tumbo lake na jamaa zake
OLIKOBO JR
Post #133
Nov 2, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
Polepole aache kuongea ongea, anaboa
Slow slow anatetea tumbo lake
OLIKOBO JR
Post #43
Nov 1, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
Polepole aache kuongea ongea, anaboa
Alafu Alafu utawakuta mbele ya madhabau
OLIKOBO JR
Post #41
Nov 1, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
O
GE2020
Tanzania ya baada ya Uchaguzi: Taifa lililogawanyika
Consequence za uchaguzi huu utatugusa wote pamoja na wale wanaoshangilia
OLIKOBO JR
Post #23
Nov 1, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
OLIKOBO JR
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register