Nimeisoma habari hii kwa umakini mkubwa na mwenyekiti wangu wa Bavicha Mkoa wa Manyara na Katibu wa Wilaya ya Simanjiro mh Frank Oleleshwa amejitahidi kueleza ukweli.
Huyu aliandika hapa kweli alitumwa na ametumwa na mahasimu wangu kisiasa ambao mimi naamini wapo ccm na wanachotaka kufanya...
Niwaombe wanachadema popote pale mlipo msikubali kuchonganishwa na hawa magamba, yeyote mwenye nia ya kugombea nafasi yeyote ya
na agombee bila kumkashifu mwenzie ama kumpiga vita, kwa kuwa malengo yetu kwa pamoja ni kuhakikisha tunawaondoa hawa wakoloni weusi madarakani
Kila la kheri kamanda wetu Oleleshwa katika safari yako ya kufikia ndoto yako ya kushika nafasi ya juu kabisa ndani ya BAVICHA, binafsi sina mashaka na Uwezo wako, kikubwa mi nakuombea mungu Katibu.
Mimi
Frank Mepukori Oleleshwa
Katibu wa CHADEMA
Wilaya ya Simanjiro
Mkoa wa...
naanza kupata wasiwasi kuwa TBCCM itakata matangazo yake pindi kamanda Lema atakavyoanza tu kuwasilisha maoni ya kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, naandika hivyo baada ya kuona TBCCM imeanza kuugua Dengue mda huu....
TBC wanaanza kuonesha dalili kuwa hawatamuonyesha mh Lema naona matangazo yaanza kukatika mda huu Chikawe akiwa anahutubia ikifika kwa Lema itakatika kabisa hii tbccm bhana!
KUHUSU UPOTOSHAJI UNAOFANYWA NA MACCM HUKU MTANDAONI KUHUSU ROSE KAMILI
Mbunge wa Viti Maalum, Rose Kamili alikuwa akifanya kikao cha ndani Kijiji cha Kitawaya, Kata ya Luhota, ghafla yeye pamoja name makamanda wengine wanawake aliokuwa nao pamoja wakazingirwa na kikosi cha Green Guard...
KUHUSU UPOTOSHAJI UNAOFANYWA NA MACCM HUKU MTANDAONI KUHUSU ROSE KAMILI
Mbunge wa Viti Maalum, Rose Kamili alikuwa akifanya kikao cha ndani Kijiji cha Kitawaya, Kata ya Luhota, ghafla yeye pamoja name makamanda wengine wanawake aliokuwa nao pamoja wakazingirwa na kikosi cha Green Guard...
BreakingNews: Read Brigade ya Chadema yakamata gari la ccm lenye kura FEKI
Read Brigade ya Chadema yakamata gari linaloaminika lina kura feki jioni hii Kalenga, Good job vijana!
Wakati huo huo Kwa kile kilichoonekana kuegemea doctrine ya Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM kuwa...
Mungu akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu ili wana wa Izrael wapete ukombozi..............
Hivyo hivyo Mungu ataufanya moyo wa Kikwete kuwa Mgumu ili wana Tanzania wapate ukombozi.
Atukuzwe sana mungu muumba mbingu na Nchi hakika neno lako litasimama..............
Wakati mwingine si vema kubishana na vichaa kama nyinyi, lakini hata kama tulifukuzwa ccm na Bananga Basi walitusaidia, kama hujui Bananga alivyokuwa CCM aligombea udiwani Sombetini mara tatu ndani ya CCM na hakufanikiwa, amejiunga na Chadema tu akagombea na akashinda, unadhani angefanikiwa kama...
Nahisi utakuwa umenifananisha mkuu mimi sijafukuzwa CCM nilijiondoa mwenyewe kwa hiari yyangu na kuungana na Jeshi la Ukombozi, Sijawahi na sitawahi kujutia uwamuzi wangu huo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.