Overdrive inatakiwa kuwa off kwa kawaida . Kwa wale wanaoishi kwenye Theluji wanatakiwa waweke overdrive on ili kukabili utelezi. Overdrive ikiwa off gari yako ina ingia gia ndogo haraka badala ya kuchambua Gia moja baada ya nyingine hadi kuingia namba 4 au 5. Inasaidia mafuta pia. Huna sababu...
Kila zama na nyakati zake. Ni muda muafaka wa katiba mpya na hilo kila mtu analiona hata waliokuwa viongozi kipindi cha nyuma. Hivyo Warioba ana haki ya kusema kuna umuhimu wa katiba mpya sasa. Hili halikwepeki.
Wewe jamaa ni mjinga sana. Kabla hujaandika jaribu kufikiria kidogo na sio kuandika kwa ushabiki tu. Serikali ina hela imetoa wapi? Hiyo ni hela yetu wananchi na ni lazima ituhudumie kwanza kabla ya kwenda kujenga masanamu yasiyo na maana yoyote. Wananchi wanakufa kwa kukosa oxygen na wana hela...
Umeuliza maswali mazuri sana. Serikali ina evisa ya watalii na pia epassport application vyote vinahitaji internet. Ni jambo la kusikitisha na kushangaza Karne ya 21 watu wananyimwa internet as means ya kuwa control. Itakuwa ngumu sana kuendesha shughuli za maendeleo bila internet. We are DOOMED !
Ningekuwa mimi ni wewe ningetaka Lissu ashinde kwani sera zake za elimu zitakusaidia kupata ujuzi wa lugha ya malikia. Your English is terribly terrible!!
Hii ni udhibitisho wa kukosa umakini katika utendaji labda kwa sababu ya woga. Lazima mamlaka ya juu itakuwa imependezwa na hizo namba na hivyo haijalishi madhara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.