Viongozi kama hawa wanatupeleka shimoni! Wakati dunia inapambana na kukamata technologia, ili kugundua ndege za kivita zisizoonekana ktk Rada, sisi tunawawezesha vijana wawe machawa waisifue CCM!
Tukija kuamka makaa ya mawe na dhahabu zetu zote zipo China, na sisi hatuna kitu!
Kstka dunia, wakoloni walitawala kwa sababu walikuwa na risasi!
Marekani anaamua chochote kwakuwa ndiye anayemiliki teknologia ya juu zaidi ya kivita!
Ethiopia haikutawaliwa kwasababu ilikuwa na matumizi ya baruti, ikawa vigumu kwa Wazungu kuwatawala!
Kuna mtu alimdanganya kwamba Watanzania hasa Watanganyika ni wajinga sana, hawaelewi chochote!
Ibuka watu walipodai katiba. Pia akasema wa5anzania wasomeshwe kwanza katiba waielewe, kwani hawaielewi! Ndo inaishia hapo!
Kama ccm watataka katiba mpya! H. Polepole atakuws na mchango wa asilimia 70!
Baada ya kuueleza umma jinsi ccm mtandao wanavyo it's finally nchi, ccm ndo wanezinduka kwamba katiba ya sasa inalinda mambo haya!
Bila polepole ccm walidhani kwamba katiba ni kwaanili ya Chadema kishinda
We baba hebu tulia nyumbani ulee wajukuu!
Polepole ni shuhuds muhimu sana toka nchi hii ianzishwe!
Weye siyo mwelewa kumbe.
Hujui hicho alicho kidhibitisha Polepole ndilo chimbuko LA maumivu yote Taifa tunalo yapitia?
Kwamba watu wanatekwa, wanauliwa lkn watawala hawajali sababu CCM imeunga...
Hawa jamaa ni waove sana! Kama siyo Lissu kuiweka wazi hukumu ya Jaji, wangetuhadaa kwamba Jaji ndiye aliye amuru kesi isionyeshwe mbashara! Lissu amefungua macho na hadi mahakama sasa inaona aibu! Humumu wanazitoa wai, lkn Baadae wanaziona hazijakidhi nia yao ovu, wanarudi kuolea hukumu zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.