Wadau wengine mnakurupuka kujibu malalamiko ya watu humu,watu wanalalamika usahihishwaji wa mtihani ndio haukuwa wa haki na nyie mnajibu sababu za kuita watu wengi kwenye usaili,,,
Usahishwaji ni mbovu kabisa,na hawawezi kututhibitishia wamesoma na kusahihisha kila mtihani na mtihani ulikuwa wakuelezea,tena wametumia masaa kumi kusahihisha kwa makini mitihani ya watu 1000+++ inawezekanaje mwanawane au ni ma robot?!?
Shikamoo Ajira.go.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.