Recent content by okoj

  1. O

    Chimbo la bidhaa kama pipi na chocolate

    Habari wakuu! Kwa anaefahamu wapi bidhaa kama pipi chocolate nk zinapatikana maeneo ya dar kwa bei ya jumla... Kama ni kkoo ni mtaa gani? Asanteni
  2. O

    Chimbo la vifaa vya keki

    Salaam wadau, Naulizia machimbo ya vifaa vya keki kwa Bei ya jumla, Dar es Salaam.
  3. O

    Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

    Itakuwa ameona ni gharama kujihudumia nywele akaona anyoe incase kama ulikuwa haumhudumii.
Back
Top Bottom