Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza Halmashauri zote Nchini Majiji kutochukuwa bidhaa halali za Wananchi ambao ni wafanyabiashara wadogo wanaojitafutia riziki zao Barabarani kulingana na mitaji yao hata kama wakikutwa na makosa ushughulikiwe utaratibu tu! na sio kuua mitaji yao midogo...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola Wanaosimamia Utekelezaji wa Tunu za Jumuiya hiyo (Commonwealth Ministerial Action Group-CMAG) kufuatia vurugu...
Waziri Kombo akutana na Balozi wa India nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini, Mhe. Bishwadip Dey, katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam, tarehe 06...
Waziri Kombo akutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Andrew Lentz katika ofisi ndogo za Wizara, jijini...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Kombo (Mb.) amefanya kikao kazi na Balozi wa China nchini, Mhe. Chen Mingjian pamoja na Wizara ya Ujenzi na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam leo tarehe 6 Desemba 2025...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki hafla ya maadhimisho ya Miaka 108 ya Jamhuri ya Finland, iliyofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 05 Desemba, 2025.
Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Kombo ameipongeza Finland kwa...
𝗕𝗔𝗟𝗢𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗡𝗖𝗛𝗜𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗟𝗔𝗪𝗜 𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗭𝗜𝗔𝗥𝗔 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗪𝗜𝗟𝗔𝗬𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗬𝗔𝗦𝗔
𝗡𝗮 𝗕𝘆𝗮𝗿𝘂𝗴𝗮𝗯𝗮 𝗜𝗻𝗻𝗼𝗰𝗲𝗻𝘁, 𝗡𝘆𝗮𝘀𝗮
Balozi wa Tanzania nchini Malawi Mhe. Agnes Richard Kayola amefanya ziara rasmi ya Kikazi Wilayani Nyasa kwa lengo la kuona fursa za uwekezaji,raslimali zilizopo na kukiri kuwa iwapo...
𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗩𝗬𝗢𝗠𝗕𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗔𝗕𝗔𝗥𝗜
𝗠𝗔𝗞𝗔𝗠𝗨 𝗪𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜𝗧𝗜𝗭𝗔 𝗨𝗠𝗨𝗛𝗜𝗠𝗨 𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗟𝗜𝗡𝗗𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗜𝗡𝗚𝗜𝗥𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗨𝗨𝗡𝗚𝗔𝗡𝗢
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akitembelea na kukagua jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano na Mazingira linalojengwa katika Mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma na kuzungumza na watumishi wa Ofisi.
𝗥𝗖 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 𝗔𝗣𝗢𝗞𝗘𝗔 𝗨𝗝𝗨𝗠𝗕𝗘 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗕𝗨𝗡𝗚𝗘 𝗗𝗨𝗡𝗜𝗔𝗡𝗜 (𝗜𝗣𝗨)
▪️Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha
▪️Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria
▪️Rais Dkt. Samia apendekezwa kuwa Mgeni rasmi
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA. Amos Gabriel Makalla mapema leo Alhamisi Disemba 04...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akifungua Maadhimisho ya Kanda ya Afrika ya Wiki ya Kimataifa ya Usugu wa Vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Tanzania imedhamiria kuhakikisha inalinda afya, maisha ya watu na mazingira kwa kutoa kipaumbele katika uimarishaji wa mfumo wa afya, kuwekeza katika utafiti wa kisayansi, na kuhimiza matumizi ya dawa...
𝗩𝗜𝗝𝗔𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗨𝗡𝗜𝗙𝗨 𝗡𝗗𝗜𝗬𝗢 𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗛𝗔𝗧𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 - 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Watanzania wanataka kuiona nchi yao ikifikisha lengo la uchumi wa kati wa dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050 na watakaofanikisha jambo hilo ni sekta binafsi ikiwemo wenye wabunifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.