Recent content by Ojee

  1. O

    Bank NMB wamenikata hela yote kinyume na makubaliano, nifanyeje?

    Nashukuru kwa michango wadau. Nimehamishia CRDB mshahara wangu, nao NMB wanaendelea kupokea makato ya awali. Na ninajiandaa niuze deni hilo CRDB ili lile deni lijikusanye wakati nilipofukuzwa kazi nipate kulilipa.
  2. O

    Bank NMB wamenikata hela yote kinyume na makubaliano, nifanyeje?

    Nikiwa kama mtumishi wa umma nilikopa NMB bank lakini kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nikafukuzwa kazi, hivyo marejesho bank mwajiri akawa hapeleki. Baada ya miezi nane kutokana na mambo ya rufaa nikafanikiwa kurejeshwa kazini na mwajiri kuamliwa kulipa mishahara yangu wakati...
Back
Top Bottom