Recent content by ODONGOJ

  1. O

    JamiiForums Tanzania Yared Fubusa, Ndiye Chaguo la wana Kigoma Kaskazini

    Huyo Fubusa amekuwepo na CV yake muda wote ambao Zitto alikuwa mbunge mbona hakuwa kupambana naye amesubiri Kabwe kaachia jimbo ndo anajipandisha kichwa. hana lolote. Ila kama ameamua kugombea is ok ila sio suala la kumlinganisha na Zitto
  2. O

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na Mchungaji Msigwa, acheni chuki za kitoto kwa Zitto

    Kwa hili hawa jamaa ukomavu wa kisiasa ni sifuri Wamesahau kuwa hata wao walipata ubunge kutokana na upepo wa chadema wa mwaka 2010 ambao ulitokana na juhudi za Zitto na viongozi wengine.
  3. O

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya, wengine waenguliwa kutoka kwenye nafasi zao

    Makonda aliyempiga Warioba au mwingine?
  4. O

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: UKAWA waanza safari

    Go go ukawa
  5. O

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: UKAWA waanza safari

    Tupo nyuma yao,kila kheri
Back
Top Bottom