Huna haja yakujikosha na kujidai wewe UKAWA tunajua unataka kuingia UKAWA ila unaona haya,unaweza kubaki huko huko na ukapigia kura kwa ukawa, sawa sawa?
Mwaka wa miujiza ndio huu watu tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu,wakiiba kura ili kuongeza za kwao watashangaa wanaiba za kwao na kuongeza idadi kwa UKAWA,
Eti hajiamini,Mimi nadhani hii ni dalili za kuchanganyikiwa,ila hata wewe unakaribishwa UKAWA usife kifo cha kupe anayeng'ang'ania ngozi ya ng'ombe aliyekwisha chinjwa
Kwa wale wanaofahamu bei ya mabati naomba mnifahamishe bei za mabati ya rangi migongo midogo na MBAO zenye dawa 2*4 futi 18,kama kuna mapungufu ktk tangazo langu pia kusahihishwa ruksa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.