Recent content by Octoba sitiki

  1. O

    Mwenyekiti Wa CHADEMA Kuachiwa Tarehe 29 Octoba Siku Ya Uchaguzi!

    Kama kichwa cha Habari kinavyosomeka, Habari ndo hiyo!
  2. O

    Yu Wapi Mwanadada Veronica France?!

    Nmejikuta leo namkumbuka uyu mwanadada ambae alitokea kujizolea umaarufu sana kipindi kile Mjomba katuacha bila kutuaga!! Kuna yoyote mwenye taarifa zake? Alafu vp me naona kama yupo hai ingekuwa poa kama balozi akiungana nae wakapiga combination moja nna Imani watasepa na kijiji Chao!
  3. O

    Si Ni Juzi Tu Nmetoka Kuuliza Apa Jukwaan kuhusu Msanii Namba Moja Nchini Kuwa Miongoni Mwa Wana mtandao?! Nadhan Jibu lmepatikana Jana!

    Tokea Nizaliwe ndoto zangu hazijawahi kwenda wrong! Mimi sio kama wale wengine kina Britannica, wakiota ndoto zao hazitokei 😂
  4. O

    Akili Yangu Inaniambia Yule alieko Jela anaenda Kuachiwa Hivi Karibun Ili Kuzima Aya magumu Aliyoyaongea Bw. Slowslow!

    Naam! nmeota hivyo leo Mchana kipindi nmepitiwa Usingizi Baada ya kushiba ugali wa mtama na nyama ya kuchoma apa Stendi ya Nyamhongolo Jijini Mwanza Nikiwa safarini kuelekea kumsindikiza mgombea mwenza! Ndoto yangu imenionesha hakuna namna nyingine ya kufukuza huu upepo tofaut hiyo ya...
  5. O

    KIJANI kusomba Watu Hawajaanza Leo! Mimi Mwenyewe Nikiwa Mwanafunzi Darasa la 4 Shule Flani Apo Mwanza Nilisombwa Kwenda Kumshangilia JK 2005 kirumba!

    Wakuu hawa jamaa hii michezo Hawajaanza leo ni tangu miaka na miaka uko nyuma! Kwahiyo ata Aya yanayosemwa sasa ni marudio tu na ni kama hawa jamaa hii michezo washaizoea! Nikiwa Mwanafunzi wa darasa la 4 mkondo A pale shule ya msingi Nyamanoro, nakumbuka tulisombwa kwenda CCM kirumba tena...
  6. O

    GE2025 Nacheka kama Mazuri vilee. Ni wangapi mmeing'amua hii Script iliyochezwa kati ya CCM, Tume na ACT Wazalendo?

    Kidogo nmeanza kuelewa ule msemo kwamba green and yellow wameishiwa mbinu kwa sasa na nadhani katika zile mbinu tulizoambiwaga kwamba jamaa wana mbinu takribani 1000 za kushinda Uchaguzi! Itakuwa hii ndio mbinu ya mwisho kabisa! Iko hivi! Baada ya balozi kutoka na kumwaga mchele kwenye kuku...
  7. O

    GE2025 Ni wangapi umu Jukwaani Mmeshagundua mchezo wanaoucheza CCM? Wa kuengua Walioshinda kura za maoni na kuweka walioshindwa!

    Kiukweli nasikitika sana kuona kadri miaka inavyoenda Jukwaa hili linazidi kuwapoteza watu ambao ni Great Thinkers na badala yake Jukwaa kwa sasa lmejaa watoto ambao ata kung'amua michezo kama hii wa nashindwa! Iko hivi,. CCM wa nachokifanya ni kuwaengua wale watu ambao walipata kura nyingi...
  8. O

    Ningependa kujua Yu wap Dkt. Wilbroad Slaa

    Wanaemwita?? Ina maana hiyo kesi kumbe wanamsingizia?!
  9. O

    Ningependa kujua Yu wap Dkt. Wilbroad Slaa

    Habari ya jion wanajanvi. Ningependa kujua alipo gwiji uyu wa siasa apa Tanzania na ni lipi neno lake kuhusu kesi hii ya Lissu na hususan baada ya taarifa ya leo kuhusu wale waitwao mashahidi wa siri.
  10. O

    Julai imeisha,Leo ni Agosti 4 ,Bado tuendelee kusubiri!?

    Bila shaka ww ni yericko nyerere
  11. O

    Nimepata nafasi ya kwenda kwenye conference UK, Je nifanyeje niweze kubakia huko mazima?

    Je wakiangalia nchi nayotokea Tanzania na nkaomba ukimbizi Inakubaliwa? Naomba nieleweshe kwa kina mkuu ili swala mana n a ndugu yang alwahi fanya kazi kambi ya igoma naeza mtumia kupata hyo inshu.. Ila naomba nipe njia ya jinsi uo mchakato ulivyo
  12. O

    Nimepata nafasi ya kwenda kwenye conference UK, Je nifanyeje niweze kubakia huko mazima?

    Mkuu unaelewa wazungu uwa ni watu wazito sana kwenye kubeba mimba especially me naingia kama mgeni wa muda...
Back
Top Bottom