Recent content by octavia

  1. O

    Kilimo, soko na faida za Uyoga

    Habari wanaJF. Nimepata mafunzo ya kilimo cha uyoga aina ya oyster (mamama) na ninajipanga kujaribu. Naomba kujua soko lake likoje kwa hapa Dar. Mambo yakienda vizuri nategemea kuanza kuvuna mwishoni mwa November. Asanteni.
Back
Top Bottom