nitaipigania tanzania yangu mpaka nihakikishe ha2ingii mikonon mwa wakolon kwa kumchagua kiongoz mwadilifu ipo waz misaada yote ya kampen imetoka nje ni zaili wakolon wapo njian ewe mtanzania mwenye mtizamo chanya jitathimin hapa KAZI TU
kingine badala ajenge hoja na sera anaanza kulalamika na kupanic ± mipasho inazihilisha wazi hata bungen hata fanya chochote atakuwa mpiga kelele then yatakuwa yale yale kama ya mwenzie alyekimbia jimbo massabur anafaaa kwa jimbo la ubungo na maendeleo ya ubungo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.