upinzani ni vyema kujipanga vyema tena mapema maana mwishoni mwa mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaa na hatimaye uchaguzi mkuu mwakani! ila kwa sasa siasa za chama kimoja kimoja (upinzani) zimeanguka kwa kasi saana kiasi cha kutegemea nguvu nyepesi ya UKAWA ambayo kwa namna moja au...
napata mashaka saana na uwezo wa mwandishi wa hii mada kama ulikuwa unafahamu kitu gani ulihitaji kutuletea hapa! na bila shaka hata njia uliyotumia kuandika hadithi yako ya kusadikika hukujipanga, ila ulikurupuka! kwanini?
1. kwakuwa hadithi yako ni mfululizo wa habari na matukio ya maisha ya...
hoja ya ongezeko la wapiga kura halina mashiko! wakati mwingine inabidi CHADEMA iwe inakubali kushindwa pale ambapo hali na mazingiza vinajionyesha dhahiri! kuna umuhimu wa chama hiki kujipanga upya kama wana dhamira ya dhati kabisa kushika hatamu miaka ijayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.